Ufahamu juu ya course ya health information science

Ufahamu juu ya course ya health information science

Kwa hapa bongo kuna chuo kinachotoa hii kitu?
 
Hivi naomba kuuliza MTU akisoma hii course anaajiriwa kama nano naona kama inaingiliana na IT au? Naomba kuelimishwa kidogo
 
Hii ni course ambayo unatumia computer katika maswala ya afya mfano ukiwa hospital unaweza kuwasiliana na madaktari kwa sababu kuna somo linalo husu biomedical terminology so unakuwa upande wa IT Lakini knowledge ya afya unakuwa nayo maana practical zetu nying tunafanyia hospital
Okay asante kwa maelezo ndugu
 
Unauliza kwa kiswahili maelezo kwa kingereza ,kwanini usiendelee na kiswahili
 
Hii course ni nzuri mwenye list ya vyuo vinavyotoa hii kozi anisaidie hasa vya GOV ila Hata private sio mbaya
 
Back
Top Bottom