UEFA UROPA League

TIMING

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2008
Posts
31,563
Reaction score
18,696
Wakuu i have just finished watching fulham destroying Juve 4-1 pamoja na kuwa nyuma 0-1 within 2 minutes!!!

Hili ni kombe dogo la ulaya lakini today was a very good day for an England team

Cannavaro was red carded
 
Valencia wamepita kwa away goal, matokeo 4-4 lakini valencia walitoka 1-1 nyumbani kwao.
 
Hawa Cottagers wamefanya kweli, kazi ipo mwaka huu.
 
game ilikuwa kali sana hii.na ndio nasema liverpool na nyie mmeoneshwa jinsi mpira unavyopigwa kakazeni buti sasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…