Mmetubana kwenye kodi tumefunga maduka tumekimbia mjini tukaja vijijini kufuga samaki, Sasa mmeamua kuja kutuulia na hivi visamaki vyetu. Fugeni nyie muwalishe hicho cha bei rahisi. Kama kimebuniwa na maprofesa hawa ninawaona bungeni na kwenye teuzi za Mkuu!!! Hu hu huuuuuu!!! Lisheni wakwenu tu sisi mtuache. Hamkawii kuja kusema tuliwanukuu vibaya.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.