Mgomo wa coet ni wa upuuuzi mtupu, yaan badala ya kugomea masuala ya msingi wanagoma ili eti disco ya kilaza mabala itenguliwe! Hizo ni fikra fupii sana,, mtu ameshikwa kabisa akidesa na inadaiwa huyo Mabala ni mdesaji wa kila pepa ila hyo juzi ilikuwa 40 yake, ukwel ni kwamba wengi wenu mnaogoma huko coet kwa kisingizio aludishwe mabara waoga wa pepa mnaona ratiba ya UE imetoka ndo mnadai kugoma!