weweeeee!!!! Acha umbea watu wanajipanga usiku na mchana.... Wewe subiri vijana wafungue j3 ndo utaijua ud! Vikao vinafanyika kila uchao kuhakikisha vijana wanarudi kundini kwa kishindo. Kwa taarifa yako ud huwa hafukuzwi mtu mpaka kieleweke.
Au ulitaka watu wagome mda wa likizo, kuna watu wana phd za mgomo halafu wewe unawafundisha kazi et..... Labda umetumwa na mkandala upime kina cha maji ndugu.... Subiri tsunami from monday kwanza vijana watakua na hele so no woryy!
Solidarityyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyy.......... Frevereeeeeeeeeeeeeeeer!