Mkuu mimi sina uzoefu na hii kitu lakini wanasema
"Instructional Design is the systematic development of instructional specifications using learning and instructional theory to ensure the quality of instruction. It is the entire process of analysis of learning needs and goals and the development of a delivery system to meet those needs". Kwa maelezo zaidi ingia www.instructionaldesigncentral.com/whatisinstructionaldesign na hapo wanaongelea instructional design na educational technology.
Pia unaweza kutafuta prospectus ya UDOM kwenye site yao naamini wataweka program structure inayo onyesha courses wanatakiwa kufanya.
Pia km unataka education n Bora uende udom then utabadl coz na kuchulia edn in special need iko vzr kiukwel au km vp ahirisha mwaka then mwakan tafuta chuo chenye deafblind kasomee iyo coz
Pia km unataka education n Bora uende udom then utabadl coz na kuchulia edn in special need iko vzr kiukwel au km vp ahirisha mwaka then mwakan tafuta chuo chenye deafblind kasomee iyo coz