Wadau, mwenye taarifa zozote za admission za masters UDSM znatoka lini naomba atusaidie,
Mwanzo wakati tunaapply waliweka tangazo kuwa watatoa majibu July mwishoni lakin mpaka sasa bado hawajatoa, hii delay inasababishwa na nini?
Kuliko kupoteza pesa yako kwenda UD kusoma masterz ni bora ukasome Mzumbe kwenye uhakika wa kumaliza. Otherwise ada ulipiwe na mfadhili au uache kazi usome full time ndipo utahitimu.
Kuliko kupoteza pesa yako kwenda UD kusoma masterz ni bora ukasome Mzumbe kwenye uhakika wa kumaliza. Otherwise ada ulipiwe na mfadhili au uache kazi usome full time ndipo utahitimu.
Kuliko kupoteza pesa yako kwenda UD kusoma masterz ni bora ukasome Mzumbe kwenye uhakika wa kumaliza. Otherwise ada ulipiwe na mfadhili au uache kazi usome full time ndipo utahitimu.
Kuliko kupoteza pesa yako kwenda UD kusoma masterz ni bora ukasome Mzumbe kwenye uhakika wa kumaliza. Otherwise ada ulipiwe na mfadhili au uache kazi usome full time ndipo utahitimu.