reginahope
Senior Member
- Mar 26, 2013
- 163
- 30
napenda kuuliza km udom wameita kwa waliofanya oral interview tarehe 8 mwezi wa 3 kwa nafasi za assistant accountant and assistant supplies officers. asanteni
napenda kuuliza km udom wameita kwa waliofanya oral interview tarehe 8 mwezi wa 3 kwa nafasi za assistant accountant and assistant supplies officers. asanteni
Tafuta mchumba uolewe REGINA, HALI MBAYA SERIKALI HAINA PESA
ukiona manyoya ujue ameliwa,kama uliambiwa mwisho wa mwezi wa tatu andika maumivu.Udom nao nitatizo,kama hawakua na uhakika wasingetuambia wataita watu mwisho wa mwezi wa 3....wk ya pili cpati ucngizi kwa ajili yao cm mpaka maliwato....duh!