Udom!! Udom!!!

Udom!! Udom!!!

MY LOVE

Senior Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
161
Reaction score
68
Kwa waliofanya oral interview UDOM mwezi March na April mwaka huu, kwa kada tofauti tofauti, Je watu wameshaitwa kazini? Mwenye taarifa naomba anijuze.
 
yeap kaka kwa watu wa kada ya afya waalishaitwa tokea siku nyingi walifanya interview november mwaka jana ........
ila kwa tetesi wengine wataanza kuitwa chuo kitakapofunguliwa na wanafunzi kulipa ada ili muwezi kulipwa hela za kujikimu kaka.....
vuta subra kaka ila endelea na ishu zako huku ukisikilizia
 
yeap kaka kwa watu wa kada ya afya waalishaitwa tokea siku nyingi walifanya interview november mwaka jana ........
ila kwa tetesi wengine wataanza kuitwa chuo kitakapofunguliwa na wanafunzi kulipa ada ili muwezi kulipwa hela za kujikimu kaka.....
vuta subra kaka ila endelea na ishu zako huku ukisikilizia
Asante kaka kwa ufafanuzi huo.
 
tusubiri wandugu na kumuomba Mungu ili tupate, leo nilinyetishwa kuwa majina ya watakaoajiriwa yatatumwa mwezi huu utumishi ili chuo kikifungua watu waanze kazi. vp wardens oral interview ya tarehe 7/3/2013 ya watu 14 waliohojiwa kuna wengine waliitwa kwa interview ya wardens tena? mwenye kujua hili atujuze
 
Back
Top Bottom