Vijana wamepinda, kwa sababu ya kudesa hawajui hata matatizo wayapeleke wapi. Nani aliwaambia JF wanatatua matatizo ya bodi ya mikopo, na chuo kinahusikaje?kwani hamna serikali ya wanafunzi "wizara" inyoshughulikia masuala ya mikopo na elimu kwa ujumla. Hawa ndiyo tuwategemea kuwa watendaji erikalini mara baada ya kumaliza chuo wasiojua hata kufuata taratibu kutatua matatizo, halafu mbaya zaidi wanakosa uvumilivu na kujihusisha na masula ya wizi-actually ni ukibaka (wizi wa surali zilizoanikwa, simu, fedha, kalamu na hata kandambili). Na wakizipata hizo fedha za mkopo ni matanuzi kwa kwenda mbele, ulevi nk- hapo kaka hakuna lecture mpaka tukiishiwa ndiyo turudi kukopana na jamaa. Rotten:blah::blah: