mie nipo makuti nakula gambe, ila tupo pamoja kwenye mjadala nikitoka naenda kwa big ntamalizia kwa mwafrika. night nazama T maji full naogelea kisha najiachia rum.
"Udom" ndo kitu gani? Au unamaanisha UDOM? Na neno "hadimu" linamaanisha nini? Ama ulitaka kusema adimu? Wasomi wa siku hizi bwana? Na hili tatizo liko kila chuo, baadhi ya wasomi wetu wa siku hizi ni mbumbumbu kabisaa... Argha.....!