Leo wanafunzi wa chuo kikuu cha Dodoma ilitakiwa waanze mitihani yao ya kumalza semister ya pili, walimu wamegoma kutoa mitihani wakidai semister ya kwanza hawakulpwa hela za kusimamia na kusahisha.
Leo wanafunzi wa chuo kikuu cha Dodoma ilitakiwa waanze mitihani yao ya kumalza semister ya pili, walimu wamegoma kutoa mitihani wakidai semister ya kwanza hawakulpwa hela za kusimamia na kusahisha.
Leo wanafunzi wa chuo kikuu cha Dodoma ilitakiwa waanze mitihani yao ya kumalza semister ya pili, walimu wamegoma kutoa mitihani wakidai semister ya kwanza hawakulpwa hela za kusimamia na kusahisha.
hii nchi itaokolewa na walim tu,kama ni kwel walimu wanaendelea na mtihan mim kwangu raha, maana hizo sijui social hzna impact kwangu. Mtoto wangu anawasubir hao walimu.