Tikkera, mtu anaweza kuwa darasa la 3, na akafanya mazuri kama ana wito tu wa kuwa kiongozi. Kama umeingia katika uongozi kutegemea kupata jambo fulani na si kusaidia raia hata uwe na PhD utavurunda. Kwani walioingia mikataba ya kununua RADA, kujenga maghorofa ya BOT, EPA nk ni watu wa darasa la 3?.
Kuhusu wizi wa diwani wewe/nyinyi kama wananchi mmechukua jukumu gani?. Kama mna ushahidi siku hizi sio lazima kwenda polisi, simu za makamanda wa polisi ziko wazi, ni kupiga na kutoa huo ushahidi kuwa jamaa mwizi. Kama si hivyo yaweza kuwa majungu...