Watu wa sampuli ya The Big Show na Ruttashobolwa ndiyo watetezi wa ACT Wazalendo? Tanzania? eti.
Just look, wanaita CHADEMA eti CHAGADEMA kana kwamba ACT yao haitafika uchagani kwenda kutafuta wanachama!!
Yaani jamaa wanaandika na kusema tu bila hata kufikiria matokeo ya baadae ya kile wanachokitoa kutoka kwenye vinywa vyao!!