Travelogue_tz
JF-Expert Member
- Sep 28, 2010
- 855
- 1,224
mkuu waliambiwa wataje mali zao wakati katibu hana Mali ila madeni! mwenye Mali ni mmoja tuu
Na mjamaa Albert Msando hajatangaza mali??. eti wanazindua Azimio la Arusha
Wakati mwingine ni vigumu kuelewa watanzania tunahitaji nini! Jamani nawashangaa wanaoshabikia hiki chama, yaani bila ZZK hakuna chama, ACT ni ZZK na ZZK ndio ACT! Hawa jamaa wanajaribu kupunguza harakati za kupambana na SISIMU tu! Watanzania wenzangu na hasa wapenda mabadiliko ya kweli ikataeni ACT na ZZK wake. Ni matumaini yangu kila mpenda mabadiliko yuko tayari kuchagua viongozi kupitia UKAWA wakati wa uchaguzi mkuu October mwaka huu.
Wakati mwingine ni vigumu kuelewa watanzania tunahitaji nini! Jamani nawashangaa wanaoshabikia hiki chama, yaani bila ZZK hakuna chama, ACT ni ZZK na ZZK ndio ACT! Hawa jamaa wanajaribu kupunguza harakati za kupambana na SISIMU tu! Watanzania wenzangu na hasa wapenda mabadiliko ya kweli ikataeni ACT na ZZK wake. Ni matumaini yangu kila mpenda mabadiliko yuko tayari kuchagua viongozi kupitia UKAWA wakati wa uchaguzi mkuu October mwaka huu.
Na mjamaa Albert Msando hajatangaza mali??. eti wanazindua Azimio la Arusha
Hakuna mwnye hati miliki ya siasa za nchi hii.
Zitoo hamkumtaka wachaga katoka na kaanzisha chama chake.
Sasa shida yenu nin wachaga??
Hamna dogo??
Kama ni kukiua hiko chama mmekiua wenyewe.
Hakuna mwnye hati miliki ya siasa za nchi hii.
Zitoo hamkumtaka wachaga katoka na kaanzisha chama chake.
Sasa shida yenu nin wachaga??
Hamna dogo??
Kama ni kukiua hiko chama mmekiua wenyewe.
ACT inakuzwa na chadema kwa kasi ...mwaka huu lazima mrudi kwa mababu zenu uchaggani
Hakuna mwnye hati miliki ya siasa za nchi hii.
Zitoo hamkumtaka wachaga katoka na kaanzisha chama chake.
Sasa shida yenu nin wachaga??
Hamna dogo??
Kama ni kukiua hiko chama mmekiua wenyewe.
Chadema mgomvi wenu ni act au ccm??
Teh teh teh
Kweli chaagadema kimekufa.
Badala ya kupigana na ccm mnahangaika na wapinzan wenzenu??
Ukabila umekiua hiko chama msitafute mchawii.
ACT inakuzwa na chadema kwa kasi ...mwaka huu lazima mrudi kwa mababu zenu uchaggani
Chadema mgomvi wenu ni act au ccm??
Teh teh teh
Kweli chaagadema kimekufa.
Badala ya kupigana na ccm mnahangaika na wapinzan wenzenu??
Ukabila umekiua hiko chama msitafute mchawii.