UDASA: Tunaidai Serikali zaidi ya Bilioni 11, watulipe kabla ya Februari 28, 2019

Nani aliwatuma muache weledi na akili zenu nyumbani, mkaanza kutumika kama Condom kwaajili ya siasa za maji taka mkashindwa kutumia elimu zenu kuwasaidia wananchi masikini? pambaneni na hali zenu maana mliyataka wenyewe, virisechi vyenu uchwara vingi vikaegemea upande wa fisiemu sasa mnaisoma namba. Wasomo bogus kabisa nyinyi, haya na mafuta yanapanda tena bei na nyinyi mpo tu , taaluma zenu zinawasaidiaje watu wa chini? mmevuna mlichopanda stupid DON.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…