Kwa Tanzania kila kitu kinawezekana cha msingi itabidi ujue ni magonjwa yapi yanawapata wanyamapori na namna ya kuwatibu pia jinsi ya kuwaogopa maana unaweza kwenda kutibu chui mawazo yako yakiwa bado kwenye paka.
Kwa Tanzania kila kitu kinawezekana cha msingi itabidi ujue ni magonjwa yapi yanawapata wanyamapori na namna ya kuwatibu pia jinsi ya kuwaogopa maana unaweza kwenda kutibu chuo mawazo yako yakiwa bado kwenye paka.
BVM wanasomea magonjwa wa mifugo na wanyama pori. Hivyo tiba zote za wildlife hufanywa na madakitari wa wanyama (BVM or equivalent). Hutibu wanaofugwa , waporini, wamajini.