Jackbauer JF-Expert Member Oct 28, 2010 6,038 2,199 Nov 18, 2012 #1 nipo katika hatua za mwisho kabisa za kumuweka ndani bint huyu mwenye haiba ya kihabesh!sala na maombi yenu wanajf zitatuwezesha kufikia lengo hili. PakaJimmy Filipo LiverpoolFC Preta lilyFlower Mzee wa Rula Mungi meningitis IGWE @KibangaAmpigaMkoloni Crashwise Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
nipo katika hatua za mwisho kabisa za kumuweka ndani bint huyu mwenye haiba ya kihabesh!sala na maombi yenu wanajf zitatuwezesha kufikia lengo hili. PakaJimmy Filipo LiverpoolFC Preta lilyFlower Mzee wa Rula Mungi meningitis IGWE @KibangaAmpigaMkoloni Crashwise
BADILI TABIA JF-Expert Member Jun 13, 2011 32,772 23,164 Nov 18, 2012 #2 ..all thE Best...............
sifongo JF-Expert Member Jun 5, 2011 4,896 5,302 Nov 18, 2012 #4 Kila la kheri kiongozi, hakika ni jambo jema unalolisogelea Mungu awatangulie na kuwazidishia hekima mufanikwe katika mipango yenu.
Kila la kheri kiongozi, hakika ni jambo jema unalolisogelea Mungu awatangulie na kuwazidishia hekima mufanikwe katika mipango yenu.
Jackbauer JF-Expert Member Oct 28, 2010 6,038 2,199 Nov 18, 2012 Thread starter #5 Neylu said: Hongera na kila la heri..! Click to expand... nashukuru mkuu!
Jackbauer JF-Expert Member Oct 28, 2010 6,038 2,199 Nov 18, 2012 Thread starter #6 BADILI TABIA said: ..all thE Best............... Click to expand... asante sana mkuu
kalou JF-Expert Member Aug 22, 2009 4,975 3,824 Nov 18, 2012 #7 muhabesh, wanakuaga wazuri kweli kama vp tega kabisa ile mambo ya kugandiana..just incase
Jackbauer JF-Expert Member Oct 28, 2010 6,038 2,199 Nov 18, 2012 Thread starter #8 kalou said: muhabesh, wanakuaga wazuri kweli kama vp tega kabisa ile mambo ya kugandiana..just incase Click to expand... nimejipanga kwa ulinzi wala usiwe na wasi wasi
kalou said: muhabesh, wanakuaga wazuri kweli kama vp tega kabisa ile mambo ya kugandiana..just incase Click to expand... nimejipanga kwa ulinzi wala usiwe na wasi wasi
Mentor JF-Expert Member Oct 14, 2008 20,328 23,879 Nov 19, 2012 #9 hongera bro...ths is some good news to end my weekend with!
Jackbauer JF-Expert Member Oct 28, 2010 6,038 2,199 Nov 19, 2012 Thread starter #10 Mentor said: hongera bro...ths is some good news to end my weekend with! Click to expand... muda umefika wa kushare na wana JF wenzangu
Mentor said: hongera bro...ths is some good news to end my weekend with! Click to expand... muda umefika wa kushare na wana JF wenzangu
Asnam JF-Expert Member Jan 18, 2012 4,256 2,944 Nov 19, 2012 #11 kadi lini au tunapiga customary marriage.Hongera zako kwa kuzunguka juani n.k hatimae kumtia nguvun ni kipaji pia unastahili pongezi.
kadi lini au tunapiga customary marriage.Hongera zako kwa kuzunguka juani n.k hatimae kumtia nguvun ni kipaji pia unastahili pongezi.
Mungi JF Gold Member Sep 23, 2010 16,975 9,566 Nov 19, 2012 #12 Heeeeeee!!!!! Mkuu Jackbauer nimeshtukia unataka kuwa shemeji yangu hahaaaaaaaa! All the best my shem to be! Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Heeeeeee!!!!! Mkuu Jackbauer nimeshtukia unataka kuwa shemeji yangu hahaaaaaaaa! All the best my shem to be!
Jackbauer JF-Expert Member Oct 28, 2010 6,038 2,199 Nov 19, 2012 Thread starter #13 Mungi said: Heeeeeee!!!!! Mkuu Jackbauer nimeshtukia unataka kuwa shemeji yangu hahaaaaaaaa! All the best my shem to be! Click to expand... ndo maana yake!juzi tu nimepeleka mfugo mweusi..... Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Mungi said: Heeeeeee!!!!! Mkuu Jackbauer nimeshtukia unataka kuwa shemeji yangu hahaaaaaaaa! All the best my shem to be! Click to expand... ndo maana yake!juzi tu nimepeleka mfugo mweusi.....
Jackbauer JF-Expert Member Oct 28, 2010 6,038 2,199 Nov 19, 2012 Thread starter #16 Asnam said: kadi lini au tunapiga customary marriage.Hongera zako kwa kuzunguka juani n.k hatimae kumtia nguvun ni kipaji pia unastahili pongezi. Click to expand... tunaanza na ndoa ya kijadi kwanza!halafu uzungu badae!
Asnam said: kadi lini au tunapiga customary marriage.Hongera zako kwa kuzunguka juani n.k hatimae kumtia nguvun ni kipaji pia unastahili pongezi. Click to expand... tunaanza na ndoa ya kijadi kwanza!halafu uzungu badae!
Jackbauer JF-Expert Member Oct 28, 2010 6,038 2,199 Nov 19, 2012 Thread starter #17 watu8 said: all the best mkuu... Click to expand... thanks sana!
Preta JF-Expert Member Nov 28, 2009 24,323 18,793 Nov 19, 2012 #18 ina maana Uda huyu huyu.........!!!
Mungi JF Gold Member Sep 23, 2010 16,975 9,566 Nov 19, 2012 #19 Jackbauer said: ndo maana yake!juzi tu nimepeleka mfugo mweusi..... Click to expand... Haya Mkuu....................... ila siku tukiitana shemeji na majamaa wakianza kuuliza kati yetu nani anamkanyagia mwenzake mpaka tunaitana shemeji usiseme we ndo unanikanyagia sawa?
Jackbauer said: ndo maana yake!juzi tu nimepeleka mfugo mweusi..... Click to expand... Haya Mkuu....................... ila siku tukiitana shemeji na majamaa wakianza kuuliza kati yetu nani anamkanyagia mwenzake mpaka tunaitana shemeji usiseme we ndo unanikanyagia sawa?
meningitis JF-Expert Member Nov 17, 2010 8,349 4,674 Nov 19, 2012 #20 kalou said: muhabesh, wanakuaga wazuri kweli kama vp tega kabisa ile mambo ya kugandiana..just incase Click to expand... hii kitu inahusika sana zama hizi
kalou said: muhabesh, wanakuaga wazuri kweli kama vp tega kabisa ile mambo ya kugandiana..just incase Click to expand... hii kitu inahusika sana zama hizi