Mimi naamini mabeki wataamua mchezo wa leo ikiwemo kufunga magoli, nategemea game itaenda 120 lakini haitofika penati. Nampa Real Madrid ushindi wa 3-1
Tupia utabiri wako hapa halafu tukutane baada ya mechi kuisha.
Cc;@mussolin5 Kunguru Mjanja Somji Juma GhazwatMichuano ya kutafuta klabu bingwa barani Ulaya itafikia tamati leo katika mchezo wa fainali utakaochezwa majira ya 21:45 Usiku.
Fainali hii inavikutanisha vilabu vya Real Madrid kutoka Uhispania(bingwa mtetezi) dhidi ya Liverpool kutoka Uingereza.
Nani kuibuka bingwa wa ulaya usiku wa leo??
sisi mashabiki kindakindaki wa BARCA tunajua tutakaposhangilia leoKwa taarifa tuuuu!View attachment 786646
Yetu macho tu wapenda burudani.aangalie asichinjwe yeye
Mimi namba zangu zinaniambia hivyo pia.Ronaldo atapata red card mapema sana, sadio mane ataamua mchezo baada ya beki kindakindaki wa wakubebwa fc kufanya kosa la kizembe sana.
NB: game haiendi dk 120
FT: LFC 2 - RM 1