Mpumbavu Sana Yule, Wala sio wa kumwonea huruma.
Ni kocha mpumbavu pekee anayeweza kumchezesha huyu dogo kwenye game yoyote ya muhimu kama ya Leo. Dogo anautoto sana.
Bila shaka anajutia alivoighalimu timu na utoto wake
Sent using
Jamii Forums mobile app