Uchumba sugu na madhara yake

Uchumba sugu na madhara yake

PAZIA 3

JF-Expert Member
Joined
Jan 30, 2018
Posts
1,104
Reaction score
1,924
Jamani,hii ni kengele ya tahadhari kwa wapenzi mlio katika mahusiano zaidi ya miaka 2 mkiwa wachumba, kibongobongo uchumba sugu umeshaliza watu wengi, usijifariji kuwa mtaoana baada ya miaka 2 au zaidi, hiyo ni sawa na kufuga mti porini maeneo ya Shinyanga
 
Siku nikibahatika kupata mchumba tukapendana, basi miezi hata 3 inatosha.
Ukichunguza sana utamuona hafai, maana wanazaliwa kila siku warembo.
 
Miaka miwili midogo kuna ambao wanakaa hadi 6
 
Acha uwongo... Miaka miwili bado tunachunguza tabia zilizojificha.

Atleast three yrs. Kwani unakimbilia wapi???
Mnaofosi king wengi mnakuwaga mnatabia fulani mbovu sasa mnaogopa zisijulikane.

Ukiona ndani ya hiyo miaka umekaa alafu kaolewa mwingine ujue ulikuwa na tabia mbovu
 
Acha kuwatisha wenzio nilikaa na bibi yenu 1974 tukiwa shule mpaka 1981 ndiyo kufunga ndoa
 
Nilikaa 5 yrs, nimeamua kuondoka lakini bado nampenda. Sema tu najipa moyo hapa nilipo, labda ntamsahau, ila nilimpenda aisee sema tu sikuona hata dalili ya kufikiria kuweka commitment.
 
Nilikaa 5 yrs, nimeamua kuondoka lakini bado nampenda. Sema tu najipa moyo hapa nilipo, labda ntamsahau, ila nilimpenda aisee sema tu sikuona hata dalili ya kufikiria kuweka commitment.
Wewe ni me au ke?
 
Jamani,hii ni kengele ya tahadhari kwa wapenzi mlio katika mahusiano zaidi ya miaka 2 mkiwa wachumba, kibongobongo uchumba sugu umeshaliza watu wengi, usijifariji kuwa mtaoana baada ya miaka 2 au zaidi, hiyo ni sawa na kufuga mti porini maeneo ya Shinyanga
Miaka miwili michache sana mimi na miaka 5
 
Jamani,hii ni kengele ya tahadhari kwa wapenzi mlio katika mahusiano zaidi ya miaka 2 mkiwa wachumba, kibongobongo uchumba sugu umeshaliza watu wengi, usijifariji kuwa mtaoana baada ya miaka 2 au zaidi, hiyo ni sawa na kufuga mti porini maeneo ya Shinyanga
1744901154892.png
 
Back
Top Bottom