Uchumba sio kufanya mapenzi

Uchumba sio kufanya mapenzi

nyachia

Member
Joined
Mar 17, 2015
Posts
43
Reaction score
3
Jamani nina mchumba wangu mwanzo tunaanza nilikuwa nafanya nae mapenzi sana lakini sasa kabadilika hataki nifanye nae mapenzi anadai uchumba sio kufanya mapenzi na anasema nikimlazimisha ataniacha uchumba ndo basi.

Wadau mnishauri nifanyaje?
 
atakua anataka kitu ambocho umpi na ulikua unampa maana navyojua mgegedo mtamu

alafu embu edit hapo toa kumtommba andika kumgegeda
 
atakua anataka kitu ambocho umpi na ulikua unampa maana navyojua mgegedo mtamu

alafu embu edit hapo toa kumtommba andika kumgegeda

sasa na wewe ndio umefanya nini? mbona yale yale.
 
atakua anataka kitu ambocho umpi na ulikua unampa maana navyojua mgegedo mtamu

alafu embu edit hapo toa kumtommba andika kumgegeda

Mhhhhh masai dada una mini Leo mbona umekuwa hvyo ?
 
Last edited by a moderator:
Huyo ameshahamia Airtel yatosha. Na hiyo ni dalili ya kukumwaga
 
mwenzio ametubu na amerudi kwa mola wake we unakuja kulalamika huku cha msingi na ww fanya toba ya kweli acha zinaa
 
Jamani nina mchumba wangu mwanzo tunaanza nilikuwa nafanya nae mapenzi sana lakini sasa kabadilika hataki nifanye nae mapenzi anadai uchumba sio kufanya mapenzi na anasema nikimlazimisha ataniacha uchumba ndo basi.

Wadau mnishauri nifanyaje?

Piga chini masuala ya kuuziwa mbuzi kwenye
gunia yashapitwa na wakati.....hiz zama.
 
sasa jamani...kwani lazima kujaamiana?! kama we yamekushinda si uendelee na maisha yako..kwani uchumba lazima ku-do?!.. ye hataki..sasa weunahitaji ushauri gani wakati huyo ni mchumba wako?!
 
sasa jamani...kwani lazima kujaamiana?! kama we yamekushinda si uendelee na maisha yako..kwani uchumba lazima ku-do?!.. ye hataki..sasa weunahitaji ushauri gani wakati huyo ni mchumba wako?!
...wewe na mchumba wako hamku-do?
Hata mimi ningefurahi kuwa na uchumba pure bila ngono, but the world is f**d up, if you don't giv it to her...atakipeleka kwa mwingine!!
 
...wewe na mchumba wako hamku-do?
Hata mimi ningefurahi kuwa na uchumba pure bila ngono, but the world is f**d up, if you don't giv it to her...atakipeleka kwa mwingine!!

Huo uchumba wa bila kudo how I wish....ila hofu ni kukuta kibamia siku ya first night daaah.....kingine ni wat if akawa anagonga papuchi nyingine.... Dunia ya leo kuna mwanaume atasubiri Kudo hadi ndoa..mshenga ukimpata huyo nishtue nipropose mwenyewe fasta fasta😉😉😉
 
Jamani nina mchumba wangu mwanzo tunaanza nilikuwa nafanya nae mapenzi sana lakini sasa kabadilika hataki nifanye nae mapenzi anadai uchumba sio kufanya mapenzi na anasema nikimlazimisha ataniacha uchumba ndo basi.

Wadau mnishauri nifanyaje?

fungua jicho la tatu wewe ni great thinker bhana...
kapata mwingine anammeng'enya kisawasawa
 
Huo uchumba wa bila kudo how I wish....ila hofu ni kukuta kibamia siku ya first night daaah.....kingine ni wat if akawa anagonga papuchi nyingine.... Dunia ya leo kuna mwanaume atasubiri Kudo hadi ndoa..mshenga ukimpata huyo nishtue nipropose mwenyewe fasta fasta😉😉😉
Kama unataka kushikia wenzako pembe miaka hii, jaribu kupropose mahusiano bila ngono..
sio Me wala Ke, wengi saivi anataka aone kama mzigo upo? wa kuridhisha? sio bwawa? unaweza mchezo?
 
Back
Top Bottom