aaaaaaaaa Dena, dd mmoja shost yangu kavishwa pete mwaka wa 4 huu eti alikuwa anamsubiri mchumba wake arudi, mwenzie kuja kaja na mke mzungu na mtoto yy kabakia na pete kidoleni, baada ya hapo kenda jirusha bahari ya hindi hivi punde natoka naenda kumcheki kalazwa tumaini hosp. je ni haki alichofanyiwa?????????