litutumbwe
JF-Expert Member
- Mar 13, 2023
- 581
- 1,014
Nilikua ndiyo nimeamka nikajiandaa kwenda kazini.. nimetoka upande wa nje ndiko ambako kuna mabanda na vitu mbali mbali ghafla niliona kitu kilichofanya tumbo livurugike...
Nikamuona paka, ila anatembea kwa miguu miwili, akanisogelea na kunisemesha... wewe litutumbwe kwa nini ulinitumia ukaniacha??
Njlishangaa kwa sababu sikuwahi kulala na paka... hapo mke wangu alikuwa bado hajaamka kwa hiyo hata kupiga kelele niliogopa sana.
Hapo dk 20 zikawa zinakata huku nikimuomba anikumbushe ni wapi nilimtumia na kum dump.
Ghafla akawa na sura ya kike na akabadilika kua mwanamke mrefu kiasi mnene kiasi mweupe wa maji yakunde.
Hapo ndipo nilipomkumbuka,nikweli niliwahi kumtumia nakumkimbia sikumlipa ela yake wakati mrefu uliopita,kumbe alikuwa ananiwinda kila siku.
Nikatoa machozi ya mchongo anisamehe ila hakuelewa...
Niliona nikama naota ila ulikua uhalisia...
Mke wangu akatoka ndani kwani kulishapambazuka kabisa na kuona kama naongea namtu...
Aliposogelea ulitokea mlipuko mkubwa sana wa bomu tuliosikia ni mimi na yule niliyeongea naye na mke wangu tu.
Kuhamaki tupo wawili tu mimi na mke wangu... akauliza kimetokea nini? Nikajibu ata miye sijui...
Haya mambo yapo..
Kuna mwanamke mmoja malaya alishawahi kuomba lift kwenye gari ya jamaa fulani... alipomuambia nishushe nimefika jamaa akamuambia gari hii haionekani nawatu nanaweza kukufanya lolote humu ndani...
Unaweza kusikia kishindo kikubwa na mtu wa karibu yako asisikie...
Basi baada ya pale nikaelekea kazini.
Kuingia ofisini juu yameza nakuta bonge la joka... jamani haya mambo yanatisha.
Kuhamaki naona linanipa ishara niketi kwenye kiti mule ndani...
Nikaketi naye akaketi kwenye sofa mule ofisini na akaanza kunitazama huku ni kama anatabasamu kwa mbali...
Nikawa nasubiri lianze mazungumzo sasa...
Huwezi amini haya yote yametokea masaa machache tu yaliyopita
Yafuatayo yalitisha, nitamalizia hii jioni
Nikamuona paka, ila anatembea kwa miguu miwili, akanisogelea na kunisemesha... wewe litutumbwe kwa nini ulinitumia ukaniacha??
Njlishangaa kwa sababu sikuwahi kulala na paka... hapo mke wangu alikuwa bado hajaamka kwa hiyo hata kupiga kelele niliogopa sana.
Hapo dk 20 zikawa zinakata huku nikimuomba anikumbushe ni wapi nilimtumia na kum dump.
Ghafla akawa na sura ya kike na akabadilika kua mwanamke mrefu kiasi mnene kiasi mweupe wa maji yakunde.
Hapo ndipo nilipomkumbuka,nikweli niliwahi kumtumia nakumkimbia sikumlipa ela yake wakati mrefu uliopita,kumbe alikuwa ananiwinda kila siku.
Nikatoa machozi ya mchongo anisamehe ila hakuelewa...
Niliona nikama naota ila ulikua uhalisia...
Mke wangu akatoka ndani kwani kulishapambazuka kabisa na kuona kama naongea namtu...
Aliposogelea ulitokea mlipuko mkubwa sana wa bomu tuliosikia ni mimi na yule niliyeongea naye na mke wangu tu.
Kuhamaki tupo wawili tu mimi na mke wangu... akauliza kimetokea nini? Nikajibu ata miye sijui...
Haya mambo yapo..
Kuna mwanamke mmoja malaya alishawahi kuomba lift kwenye gari ya jamaa fulani... alipomuambia nishushe nimefika jamaa akamuambia gari hii haionekani nawatu nanaweza kukufanya lolote humu ndani...
Unaweza kusikia kishindo kikubwa na mtu wa karibu yako asisikie...
Basi baada ya pale nikaelekea kazini.
Kuingia ofisini juu yameza nakuta bonge la joka... jamani haya mambo yanatisha.
Kuhamaki naona linanipa ishara niketi kwenye kiti mule ndani...
Nikaketi naye akaketi kwenye sofa mule ofisini na akaanza kunitazama huku ni kama anatabasamu kwa mbali...
Nikawa nasubiri lianze mazungumzo sasa...
Huwezi amini haya yote yametokea masaa machache tu yaliyopita
Yafuatayo yalitisha, nitamalizia hii jioni