Uchakachuaji kura za Siri

Uchakachuaji kura za Siri

Mapambano Yetu

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2012
Posts
1,133
Reaction score
2,128
Kuna kila dalili za kuchakachua kura zinazopigwa kwa Siri. Tusubili kusikia mazingaombwe ya Sita. Kimeshanuka mifuko ya watu kutunishwa.
 
kwani safari hii tena wamegeuza kibao hawataki kura ya wazi,hapo mwanzoni si ndio walikuwa wanasema kura za siri zina ajenda mbaya na wakadai ili kuwa muwazi kura za wazi ndio demokrasia,sasa tena wamegeuka,hakika hii katiba ina mazingaombwe ya Profesa six
 
Hivi kura za jana zililala bila kuhesabiwa au zilihesabiwa? Kama zilihesabiwa mbona hatutangaziwi matokeo? Kama zililala bila kuhesabiwa tuta amini vipi kuwa hazikuchakachuliwa na akina Makonda?
 
Siri ya hili tukio wanaijua wale waliopiga kura ya Siri. Ningekuwa na uwezo ningefatilia Acc. zao ili nijue kila mmoja kala ngapi.
 
Back
Top Bottom