Uchaguzi wa Zanzibar, mikutano ya kampeni marufuku?

The Boss

JF-Expert Member
Aug 18, 2009
49,282
117,233
Nimesikia Jecha anasema uchaguzi unarudiwa March
na hakutakuwa na mikutano ya kampeni.....hadi siku ya uchaguzi..
nimejiuliza au sijaelewa?nimesikia vibaya?
kuna mtu anaweza saidia ufafanuzi?
au kuweka clip hapa?
na sheria zikoje?
 
Nimesikia Jecha anasema uchaguzi unarudiwa March
na hakutakuwa na mikutano ya kampeni.....hadi siku ya uchaguzi..
nimejiuliza au sijaelewa?nimesikia vibaya?
kuna mtu anaweza saidia ufafanuzi?
au kuweka clip hapa?
na sheria zikoje?
Mkuu,
Pitia SHERIA ZA UCHAGUZI, NAMBA 11 YA 1984. KANUNI ZA UCHAGUZI [Chini ya kifungu Cha 130 (1)]. Inaweza kukusaidia kuelewa Mamlaka makubwa aliyepewa Msimamizi/Mwenyekiti wa Uchaguzi.
 
Kampeni zilishafanyika na zikakamilika kwa muda uliokuwa umepangwa, sasa wewe unataka zingine za nini?
 
Mkuu,
Pitia SHERIA ZA UCHAGUZI, NAMBA 11 YA 1984. KANUNI ZA UCHAGUZI [Chini ya kifungu Cha 130 (1)]. Inaweza kukusaidia kuelewa Mamlaka makubwa aliyepewa Msimamizi/Mwenyekiti wa Uchaguzi.
Hivi hakuna sheria zinazoainisha kwamba endapo msimamizi wa uchaguzi ikijulikana amefuta matokeo kwa manufaa yake mwenyewe aadhabiwe? Maana huku ni kulitia taifa hasara
 
Mkuu,
Pitia SHERIA ZA UCHAGUZI, NAMBA 11 YA 1984. KANUNI ZA UCHAGUZI [Chini ya kifungu Cha 130 (1)]. Inaweza kukusaidia kuelewa Mamlaka makubwa aliyepewa Msimamizi/Mwenyekiti wa Uchaguzi.

yaani hii nchi hata sijui tuongee nini tena
 
Hivi hakuna sheria zinazoainisha kwamba endapo msimamizi wa uchaguzi ikijulikana amefuta matokeo kwa manufaa yake mwenyewe aadhabiwe? Maana huku ni kulitia taifa hasara
Katika pitia pitia zangu katika hizo kanuni na vipengele vya sheria ya Uchaguzi sijaona kipengele kilichombana Msimamizi wa Uchaguzi, Bali vipengele vingi vimempa mamlaka makubwa katika maamuzi kwenye uchaguzi.
 
Nimesikia Jecha anasema uchaguzi unarudiwa March
na hakutakuwa na mikutano ya kampeni.....hadi siku ya uchaguzi..
nimejiuliza au sijaelewa?nimesikia vibaya?
kuna mtu anaweza saidia ufafanuzi?
au kuweka clip hapa?
na sheria zikoje?


Zanzibar na siasa zake...vituko haviishi
 
Why tunang'ang'ania huu muungano hata sijui
kama hawautaki si tuwaache waende?

Wazanzibari wanawezana wenyewe tu


labda kwa sababu za kiusalama. Kuna jicho linaona tusichoona. Maana ni mtihani. Na kwa udogo wa Zanzibar wakishikana mashati ni kama kule Burundi...hatutakuwa salama
 
labda kwa sababu za kiusalama. Kuna jicho linaona tusichoona. Maana ni mtihani. Na kwa udogo wa Zanzibar wakishikana mashati ni kama kule Burundi...hatutakuwa salama

Basi wafute tu huo uchaguzi
wabaki CCM wenyewe waendelee tu
 
Jecha bana tehetehe
Akilifuta ule uchaguzi/uchafuzi wa kwanza, amefuta kampeni uchaguzi huu mwingine sasa anakoelekea atamfuta maalem swefu kwenye karatas ya kupigia kura na mwishowe atavifuta visiwa vya pembe kwenye raman ya zenjibar tule ulwa na urojo kwa raha bila ragbha
 
Kampeni zilishafanyika na zikakamilika kwa muda uliokuwa umepangwa, sasa wewe unataka zingine za nini?
Kampeni za uchaguzi upi? Bado mnaendeleza upuuzi kutambua kampeni za uchaguzi uliofutwa lakini matokeo hamyataki. Chaguzi ndogo zote za 2015 zilizorudiwa zilitengewa mda wa kampeni, why not for this one?
 
labda kwa sababu za kiusalama. Kuna jicho linaona tusichoona. Maana ni mtihani. Na kwa udogo wa Zanzibar wakishikana mashati ni kama kule Burundi...hatutakuwa salama
Hizi ni habari za kukaririshwa mkuu. Mambo ya kiusalama ilikuwa zamani wimbi la kupindua serikali lilivyoshamiri, siku hizi hamna hiyo kitu. Muungano ni wa wananchi tuwape wao waamue wanautaka au hautaki. Kama hawataki basi tuuvunje.
 
kampeni babaisha toto..
kwani mkuu hufahamu wanachohitaji CCM kwenye marudio ya uchaguzi ?
mimi huwa nasema CCM nafuu ya ukoma.
 
Hizi ni habari za kukaririshwa mkuu. Mambo ya kiusalama ilikuwa zamani wimbi la kupindua serikali lilivyoshamiri, siku hizi hamna hiyo kitu. Muungano ni wa wananchi tuwape wao waamue wanautaka au hautaki. Kama hawataki basi tuuvunje.

Sasa aliyeusimamisha uchaguzi ni Muungano? Si ZEC ya wazanzibar?
 
Back
Top Bottom