Uchaguzi wa EALA ni kwa Maslahi ya CCM au CHADEMA?

Yericko Nyerere

JF-Expert Member
Dec 22, 2010
17,005
20,423
Wakati naamua kuandika kitabu cha Ujasusi wa Kidola na Kiuchumi nilikuwa na lengo kuu moja tu, nalo ni kuhimiza Tanzania kuhama hapa ilipo na kwenda kwenye nchi ya uchumi wa viwanda amboko msingi wake ni Ujasusi wa Kiuchumi.

Dunia ya leo ni ya Ujasusi wa Kiuchumi, mshindani wetu kiuchumi awali alikuwa ni Kenya, nchi hii iliamka na kuwekeza kwenye misheni za kiupelelezi wa kiuchumi sio kisiasa, Leo mshindani ameongezeka Rwanda, taifa dogo lenye watu wasiozidi milioni 20 ndio mshindani na kiongozi wa ujasusi wa kiuchumi leo, Kila wakifanyacho leo Rwanda wanazingatia maslahi ya kiuchumi kwa nchi yao kwanza tofauti na Tanzania ambayo maslahi ya Chamwino ni muhumu kuliko ya Taifa.

Kisayansi na kinadharia uwakilishi wa EALA unahitaji vitu vitatu muhimu, Kwanza ni Sheria, yani taifa likipata uwakilishi wa mtu anayejua sheria ataweza kulipigania taifa lake kuzishinda za kisheria,

Pili ni Uchumi, yani Taifa likipata mwakilishi anayefahamu vema na aliyebobea katika uchumi, mtu huyo ataweza kutetea maslahi ya taifa lake dhidi ya hila za kiuchumi,

Na tatu ni diplomasia, hapa inahitajika mbobevu anayeweza kuhudumu katika diplomasia ya kisiasa, kiuchumi nk, huyu kwa namna yoyote atakuwa kiungo wa hao hapo juu niliowaeleza.

Leo Rwanda imechagua wawakilishi wao makini akiwemo Mwanadheria wao Mkuu kuwa mbunge wa Bunge la Mashariki, Sisi kwetu chama kwanza cha Mapinduzi ndicho kimeatamia mchakato wote na kuchagua makada wasio na vigezo vya kileo kuwa wawakilishi,Kibaya zaidi kwa uwingi wao Bungeni, wamezuia wabunge wa Chadema ambao kimsingi ndio wenye vigeo mujarabu vya kisasa kuwa wawakilishi.

Kikanuni nafasi mbili (2) katika wawakili 9, ni za chadema, hili halihitaji mjadala, Chadema baada ya mchakato halali na halisi wakuchuja wagombea wake wote walioomba kupitia Chama, Waliamua kupitisha majina mawili tu ambayo yangethibitishwa tu na bunge, Kinyume chake Wabunge wa CCM wameyakataa kwa kura, kimandiki hakukuwa na sababu za kupiga kura bali kupita bila kupingwa ikiwa nafasi zinazotakiwa ni mbili na wagombea walioletwa ni wawili.

Kiuhalisia hoja yakuwa Idadi ya Wagombea, walioiwakilisha CHADEMA Katika Uchaguzi wa EALA, Jana ndio msingi wa matokeo ya jana ni yakupuuzwa na wanaoisimamia wapuuzwe.

Kimsingi kila nafasi inapaswa kuwa na Wagombea wasiozidi watatu, ila wakiwa pungufu hakuna tatizo lolote la kikanuni au kisheria. Pia hoja ya Jinsia ya 1/3 inasimama katika wajumbe 9 waliochaguliwa tayari na Wabunge ambao kimantiki watatoka kwenye wajumbe 6 wanatoka ccm.

Picha ya hapa chini ni mbunge aliyepitishwa na ccm binti Fancy Nkuhi, huyu ndie atakwenda kupambana na majasusi ya uchumi toka Rwanda, Kenya, Uganda, Burundi, na S.Sudani

Yani ccm inataka kuwachagulia vyama vya upinzani wabunge wawatakao wao. Hili ni jambo la ajabu sana... Ajabu kuna wanaoamini kuwa Taifa litapata mageuzi ya kiuchumi kwa aina hii ya siasa za ccm. Hili ni ndoto, Taifa linahitaji MAPINDUZI ya kiuchumi sio mageuzi.

Na Yericko Nyerere

FB_IMG_1491376495757.jpg
 
Hivi mkuu wangu akina dr Magembe hujawaona? au hao hawajapitishwa na ccm? Kama wewe ungekua mbobezi katika ujasusi wa kiuchumi kiasi hicho chama chako kisingepitisha watu wawili tu kugombea. Mkuu nakubali sana uchambuzi wako lakini katika hili la kudharau watu kwa kuangalia sura sikubaliani na wewe.
 
Ach
kimsingi ndio wenye vigeo mujarabu vya kisasa kuwa wawakilishi.
Acha bangi mkuu.....ebu tutajie hao wengne ndani ya CHADEMA waliochukua fomu tujie kama kweli hawakukizi vigezo inawezekana na wewe ulikuwa ni mmoja wao.....
Picha ya hapa chini ni mbunge aliyepitishwa na ccm binti Fancy Nkuhi, huyu ndie atakwenda kupambana na majasusi ya uchumi toka Rwanda, Kenya, Uganda, Burundi, na S.Sudani
Tatzo lako umeangalia LEO tu..hautaki kuangalia na kesho.....SASA KWA AKILI ZAKO NUSU unafikiri tukiwaendekeza kina MASHA tu na kuacha DAMU changa......kesho yetu itakuwaje kipindi kina MASHA hawapo?????
Yani ccm inataka kuwachagulia vyama vya upinzani wabunge wawatakao wao.
TUNATAKA mfate demokrasia UPATIKANAJI WA MASHA NA WENJE huko kwenu haukuwa wa kihalali bali ni UBABE WA MBOWE na sisi WABUNGE WA CCM tumeamua kuwafundisha adabu mjifunze ya kuwa kuna kesho ya TANZANIA pia.....aandaeni vijana si kila siku wazee tu
 
Wakati naamua kuandika kitabu cha Ujasusi wa Kidola na Kiuchumi nilikuwa na lengo kuu moja tu, nalo ni kuhimiza Tanzania kuhama hapa ilipo na kwenda kwenye nchi ya uchumi wa viwanda amboko msingi wake ni Ujasusi wa Kiuchumi.

Dunia ya leo ni ya Ujasusi wa Kiuchumi, mshindani wetu kiuchumi awali alikuwa ni Kenya, nchi hii iliamka na kuwekeza kwenye misheni za kiupelelezi wa kiuchumi sio kisiasa, Leo mshindani ameongezeka Rwanda, taifa dogo lenye watu wasiozidi milioni 20 ndio mshindani na kiongozi wa ujasusi wa kiuchumi leo, Kila wakifanyacho leo Rwanda wanazingatia maslahi ya kiuchumi kwa nchi yao kwanza tofauti na Tanzania ambayo maslahi ya Chamwino ni muhumu kuliko ya Taifa.

Kisayansi na kinadharia uwakilishi wa EALA unahitaji vitu vitatu muhimu, Kwanza ni Sheria, yani taifa likipata uwakilishi wa mtu anayejua sheria ataweza kulipigania taifa lake kuzishinda za kisheria,

Pili ni Uchumi, yani Taifa likipata mwakilishi anayefahamu vema na aliyebobea katika uchumi, mtu huyo ataweza kutetea maslahi ya taifa lake dhidi ya hila za kiuchumi,

Na tatu ni diplomasia, hapa inahitajika mbobevu anayeweza kuhudumu katika diplomasia ya kisiasa, kiuchumi nk, huyu kwa namna yoyote atakuwa kiungo wa hao hapo juu niliowaeleza.

Leo Rwanda imechagua wawakilishi wao makini akiwemo Mwanadheria wao Mkuu kuwa mbunge wa Bunge la Mashariki, Sisi kwetu chama kwanza cha Mapinduzi ndicho kimeatamia mchakato wote na kuchagua makada wasio na vigezo vya kileo kuwa wawakilishi,Kibaya zaidi kwa uwingi wao Bungeni, wamezuia wabunge wa Chadema ambao kimsingi ndio wenye vigeo mujarabu vya kisasa kuwa wawakilishi.

Kikanuni nafasi mbili (2) katika wawakili 9, ni za chadema, hili halihitaji mjadala, Chadema baada ya mchakato halali na halisi wakuchuja wagombea wake wote walioomba kupitia Chama, Waliamua kupitisha majina mawili tu ambayo yangethibitishwa tu na bunge, Kinyume chake Wabunge wa CCM wameyakataa kwa kura, kimandiki hakukuwa na sababu za kupiga kura bali kupita bila kupingwa ikiwa nafasi zinazotakiwa ni mbili na wagombea walioletwa ni wawili.

Kiuhalisia hoja yakuwa Idadi ya Wagombea, walioiwakilisha CHADEMA Katika Uchaguzi wa EALA, Jana ndio msingi wa matokeo ya jana ni yakupuuzwa na wanaoisimamia wapuuzwe.

Kimsingi kila nafasi inapaswa kuwa na Wagombea wasiozidi watatu, ila wakiwa pungufu hakuna tatizo lolote la kikanuni au kisheria. Pia hoja ya Jinsia ya 1/3 inasimama katika wajumbe 9 waliochaguliwa tayari na Wabunge ambao kimantiki watatoka kwenye wajumbe 6 wanatoka ccm.

Picha ya hapa chini ni mbunge aliyepitishwa na ccm binti Fancy Nkuhi, huyu ndie atakwenda kupambana na majasusi ya uchumi toka Rwanda, Kenya, Uganda, Burundi, na S.Sudani

Yani ccm inataka kuwachagulia vyama vya upinzani wabunge wawatakao wao. Hili ni jambo la ajabu sana... Ajabu kuna wanaoamini kuwa Taifa litapata mageuzi ya kiuchumi kwa aina hii ya siasa za ccm. Hili ni ndoto, Taifa linahitaji MAPINDUZI ya kiuchumi sio mageuzi.

Na Yericko Nyerere
View attachment 491329



Ndugu zangu mabibi na mabwana ningependa kuelezea jambo hili kwa uchungu kutokana na yale yanafanywa na chama tawala na serikali yake. Biblia inasema

"Msidanganyike, Mungu hadhihakiwi; kwa kuwa cho chote apandacho mtu, ndicho atakachovuna.
Maana yeye apandaye kwa mwili wake, katika mwili wake atavuna uharibifu; bali yeye apandaye kwa Roho, katika Roho atavuna uzima wa milele.
Tena tusichoke katika kutenda mema; maana tutavuna kwa wakati wake, tusipozimia roho.
Kwa hiyo kadiri tupatavyo nafasi na tuwatendee watu wote mema; na hasa jamaa ya waaminio."

Wagalatia 6:7-10

CCM imekuwa ikipanda uovu mwingi sana ndani ya taifa, na hii ni hatari ambayo haiwezi kuonekana kwa haraka lakini naamini siku moja mavuno yatakuwa makubwa mno.
Nikweli isiyopingika kuwa asilimia kubwa ya wabunge wa bunge la jamuhuri ya muungano wa Tanzania ni wacha Mungu, lakini kwa bahati mbaya sana wamejitahidi kujisahaulisha kuwa hata yale tunayotenda katika siasa bado Mungu atayahukumu kama yameenda kinyume na matakwa ya neno la Mungu, pia kanuni na sheria walizojiwekea kuongoza na kulisimamia bunge.

Kwa makusudi kabisa spika na katibu wa bunge wamejitahidi kupindisha kanuni na sheria kuhalalisha wagombea wa Cuf B ambayo inatambuliwa tu na katibu wabunge wabunge wa ccm na hao mamluki wao, bila hofu ya Mungu na hata kuheshimu sheria na kanuni walizojiwekea wamekubali kupotosha haki ambayo husababisha taifa kuinuka. Hivi ninyi wacha Mungu ambao ni wabunge wa ccm mnashindwa kusimamia haki na kuwa na hofu ya Mungu kiasi cha kukubaliana na uasi huo na kukanyaga haki kwa maslahi maovu ambayo mwisho wake yatamkwaza Mungu na kusabisha matokeo ya laana?

Hivi wawakilishi katika bunge la Eala wanawakilisha vyama au nchi? kwa nini mmeshindwa kuona hilo kuwa lina faida kiasi cha kufanya njama ya kuwanyima nafasi Masha na Wenje?

Kama wapinzani hawafahi mbona Rais amemteu Kitila kuwa katibu mkuu wa wizara? je hamuoni faida ya mawazo mbadala?

Mtavuna mnachokipanda Mungu hapendezwi na hayo mnayofanya
 
Ndugu zangu mabibi na mabwana ningependa kuelezea jambo hili kwa uchungu kutokana na yale yanafanywa na chama tawala na serikali yake. Biblia inasema

"Msidanganyike, Mungu hadhihakiwi; kwa kuwa cho chote apandacho mtu, ndicho atakachovuna.
Maana yeye apandaye kwa mwili wake, katika mwili wake atavuna uharibifu; bali yeye apandaye kwa Roho, katika Roho atavuna uzima wa milele.
Tena tusichoke katika kutenda mema; maana tutavuna kwa wakati wake, tusipozimia roho.
Kwa hiyo kadiri tupatavyo nafasi na tuwatendee watu wote mema; na hasa jamaa ya waaminio."

Wagalatia 6:7-10

CCM imekuwa ikipanda uovu mwingi sana ndani ya taifa, na hii ni hatari ambayo haiwezi kuonekana kwa haraka lakini naamini siku moja mavuno yatakuwa makubwa mno.
Nikweli isiyopingika kuwa asilimia kubwa ya wabunge wa bunge la jamuhuri ya muungano wa Tanzania ni wacha Mungu, lakini kwa bahati mbaya sana wamejitahidi kujisahaulisha kuwa hata yale tunayotenda katika siasa bado Mungu atayahukumu kama yameenda kinyume na matakwa ya neno la Mungu, pia kanuni na sheria walizojiwekea kuongoza na kulisimamia bunge.

Kwa makusudi kabisa spika na katibu wa bunge wamejitahidi kupindisha kanuni na sheria kuhalalisha wagombea wa Cuf B ambayo inatambuliwa tu na katibu wabunge wabunge wa ccm na hao mamluki wao, bila hofu ya Mungu na hata kuheshimu sheria na kanuni walizojiwekea wamekubali kupotosha haki ambayo husababisha taifa kuinuka. Hivi ninyi wacha Mungu ambao ni wabunge wa ccm mnashindwa kusimamia haki na kuwa na hofu ya Mungu kiasi cha kukubaliana na uasi huo na kukanyaga haki kwa maslahi maovu ambayo mwisho wake yatamkwaza Mungu na kusabisha matokeo ya laana?

Hivi wawakilishi katika bunge la Eala wanawakilisha vyama au nchi? kwa nini mmeshindwa kuona hilo kuwa lina faida kiasi cha kufanya njama ya kuwanyima nafasi Masha na Wenje?

Kama wapinzani hawafahi mbona Rais amemteu Kitila kuwa katibu mkuu wa wizara? je hamuoni faida ya mawazo mbadala?

Mtavuna mnachokipanda Mungu hapendezwi na hayo mnayofanya
Taifa lina safari ndefu sana mkuu
 
Hivi mkuu wangu akina dr Magembe hujawaona? au hao hawajapitishwa na ccm? Kama wewe ungekua mbobezi katika ujasusi wa kiuchumi kiasi hicho chama chako kisingepitisha watu wawili tu kugombea. Mkuu nakubali sana uchambuzi wako lakini katika hili la kudharau watu kwa kuangalia sura sikubaliani na wewe.
Dr maghembe ni msomi mzuri lkn wanachadomo hawataki kumzungumzia...

Jamaa alikuepo kwenye team ya kuandaa proposal ya bomba kutoka Uganda to Tanzania...

Tusiwe biased jamani, waliochaguliwa waende kufanya kazi.
 
Ndugu zangu mabibi na mabwana ningependa kuelezea jambo hili kwa uchungu kutokana na yale yanafanywa na chama tawala na serikali yake. Biblia inasema

"Msidanganyike, Mungu hadhihakiwi; kwa kuwa cho chote apandacho mtu, ndicho atakachovuna.
Maana yeye apandaye kwa mwili wake, katika mwili wake atavuna uharibifu; bali yeye apandaye kwa Roho, katika Roho atavuna uzima wa milele.
Tena tusichoke katika kutenda mema; maana tutavuna kwa wakati wake, tusipozimia roho.
Kwa hiyo kadiri tupatavyo nafasi na tuwatendee watu wote mema; na hasa jamaa ya waaminio."

Wagalatia 6:7-10

CCM imekuwa ikipanda uovu mwingi sana ndani ya taifa, na hii ni hatari ambayo haiwezi kuonekana kwa haraka lakini naamini siku moja mavuno yatakuwa makubwa mno.
Nikweli isiyopingika kuwa asilimia kubwa ya wabunge wa bunge la jamuhuri ya muungano wa Tanzania ni wacha Mungu, lakini kwa bahati mbaya sana wamejitahidi kujisahaulisha kuwa hata yale tunayotenda katika siasa bado Mungu atayahukumu kama yameenda kinyume na matakwa ya neno la Mungu, pia kanuni na sheria walizojiwekea kuongoza na kulisimamia bunge.

Kwa makusudi kabisa spika na katibu wa bunge wamejitahidi kupindisha kanuni na sheria kuhalalisha wagombea wa Cuf B ambayo inatambuliwa tu na katibu wabunge wabunge wa ccm na hao mamluki wao, bila hofu ya Mungu na hata kuheshimu sheria na kanuni walizojiwekea wamekubali kupotosha haki ambayo husababisha taifa kuinuka. Hivi ninyi wacha Mungu ambao ni wabunge wa ccm mnashindwa kusimamia haki na kuwa na hofu ya Mungu kiasi cha kukubaliana na uasi huo na kukanyaga haki kwa maslahi maovu ambayo mwisho wake yatamkwaza Mungu na kusabisha matokeo ya laana?

Hivi wawakilishi katika bunge la Eala wanawakilisha vyama au nchi? kwa nini mmeshindwa kuona hilo kuwa lina faida kiasi cha kufanya njama ya kuwanyima nafasi Masha na Wenje?

Kama wapinzani hawafahi mbona Rais amemteu Kitila kuwa katibu mkuu wa wizara? je hamuoni faida ya mawazo mbadala?

Mtavuna mnachokipanda Mungu hapendezwi na hayo mnayofanya
uchungu????? ita ambulance wakuwahishe hospital ya karibu hako kanyumbu kadogo kasizaliwe njiani..
 
Huyu Yerick kwamba chadema wanaona wana mtu kwa ujinga huu!!
Unaangalia sura yamtu au uwezo wa mtu?
Ulipaswa kuweka hapa mchakato wa cdm
mliwapataje hao wawili!?

Nilimsikia Mbowe kuwa wata rudisha majina hayo hayo
sasa ajipange kuona kura za HAPANA
ZIKIONGEZEKA KULIKO ZA MWANZO
 
Kama wapinzani hawafahi mbona Rais amemteu Kitila kuwa katibu mkuu wa wizara? je hamuoni faida ya mawazo mbadala?
Nyie ndiyo mlitakiwa kuleta watu wenye mawazo mbadala si KILA SIKU MASHA NA WENJE.....Masha kawatandika kweli kipindi WENJE anajenga chama......
 
Sio awe na sura kama zombie, lakini asiwe mutu ya 'selfies' muda wote, tunataka watu serious na nafikiri kungekuwa na kigezo cha umri si chini ya miaka 40 hivi!
selfie hata Obama alipiga akiwa kwenye msiba wa Madiba.. ndo dunia ilikofika, ndo zinawafurahisha watu.. hakuna jinsi yavkuwazuia kufanya.. bado napata shida kuelewa nini hasa unatakiwa kufanya kumridhisha mtanzania.. angeletwa wa miaka 40 mngekuja tena hapa kulalamika ni vipi wachaguiwe wa umri huo mngetaka wa miaka 30 au 60.. ndo mlivo, na abachoweza kufanya alie makini ni kuwachukulia poa, kuwadharaau na kuendelea na mipango yako kadri alivyojipangia yeye..
 
c74717a1c9c196fcddc7b833e5c2881f.jpg
uyu ndie anaenda kutetea taifa
Watanzania tuwe makini sana kwa kile tunachoposti online. Unakuta mtu anaweka maisha yake yote mtandaoni, kuanzia facebook, twitter mpaka instagram. Matokeo yake, huyu binti anahukumiwa kwa picha zake mwenyewe. Anaonekana ni mtu wa modeling zaid kuliko mbunge wa EALA. Ni shida sana. Privacy is like virginity, you loose it only once.
 
Hivi mkuu wangu akina dr Magembe hujawaona? au hao hawajapitishwa na ccm? Kama wewe ungekua mbobezi katika ujasusi wa kiuchumi kiasi hicho chama chako kisingepitisha watu wawili tu kugombea. Mkuu nakubali sana uchambuzi wako lakini katika hili la kudharau watu kwa kuangalia sura sikubaliani na wewe.
Mkuu hiyo sura si ushahidi? Basi toa ushahidi kama huyo binti ana ujuzi wa sheria; uchumi au diplomasia
 
Ach

Acha bangi mkuu.....ebu tutajie hao wengne ndani ya CHADEMA waliochukua fomu tujie kama kweli hawakukizi vigezo inawezekana na wewe ulikuwa ni mmoja wao.....

Tatzo lako umeangalia LEO tu..hautaki kuangalia na kesho.....SASA KWA AKILI ZAKO NUSU unafikiri tukiwaendekeza kina MASHA tu na kuacha DAMU changa......kesho yetu itakuwaje kipindi kina MASHA hawapo?????

TUNATAKA mfate demokrasia UPATIKANAJI WA MASHA NA WENJE huko kwenu haukuwa wa kihalali bali ni UBABE WA MBOWE na sisi WABUNGE WA CCM tumeamua kuwafundisha adabu mjifunze ya kuwa kuna kesho ya TANZANIA pia.....aandaeni vijana si kila siku wazee tu
Kama kweli wewe ni mbunge basi umeshikiwa akili na chama chako Maana hukupiga kura kwa kanuni sheria au akili yako bali kwa akili za CCM "kibashite"
 
Back
Top Bottom