Hata kwenye uchaguzi uliopita wa madiwani,wabunge na uraisi,wapinzani walishinda sana..ila ccm walibadilisha matokeo na huo utaratibu wa tume kutangaza mshindi,ni mauaji. ccm waliwatangaza wangapi walioshindwa?TUOMBE MUNGU UCHAGUZI HUU VI2O HAVIKUWA VINGI.