Habari zilizonifikia hivi punde, kutakua na uchaguzi wa serikali za mitaa mji mdogo USA River, tulifanya uchaguzi hapa mwaka 2012 kwa maana hiyo tutakua tumekaa miaka mitatu tu badala ya mitano, wamefanya hivyo kwa kustukiza ili waweze kuchukua mji kutoka kwa CHADEMA, lakini watakua wamebugi!