Uchaguzi serikali za mitaa 2014

NKAMBIH

New Member
Joined
Dec 11, 2014
Posts
1
Reaction score
0
Jeshi la polisi mkoani mara limetoa onyo kali kwa mtu au kikundi chochote cha watu kutojihusisha na vitendo vya vurugu,fujo ama vitisho vinavyoweza kusababisha uvunjifu wa amani wakati wa zoezi zima la uchaguzi wa viongozi wa serikali za mitaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…