N NKAMBIH New Member Joined Dec 11, 2014 Posts 1 Reaction score 0 Dec 12, 2014 #1 Jeshi la polisi mkoani mara limetoa onyo kali kwa mtu au kikundi chochote cha watu kutojihusisha na vitendo vya vurugu,fujo ama vitisho vinavyoweza kusababisha uvunjifu wa amani wakati wa zoezi zima la uchaguzi wa viongozi wa serikali za mitaa.
Jeshi la polisi mkoani mara limetoa onyo kali kwa mtu au kikundi chochote cha watu kutojihusisha na vitendo vya vurugu,fujo ama vitisho vinavyoweza kusababisha uvunjifu wa amani wakati wa zoezi zima la uchaguzi wa viongozi wa serikali za mitaa.
A Agnes Kambarage Member Joined Nov 22, 2014 Posts 10 Reaction score 1 Dec 12, 2014 #2 hiyo imekaa poa...tunahitaji uchaguzi wenye amani.
Gwataimbwa JF-Expert Member Joined Sep 15, 2014 Posts 347 Reaction score 132 Dec 12, 2014 #3 R.i.p ccm uchaguzi wa serikari za mitaa