Wapendwa wana harakati wa chama cha demokrasiabna maedndeleo(CHADEMA),Ni nini mtazamo wako kuhusiana na u chaguzi wa BAVICHA-Taifa kesho 10/9/2014 live kutoka Mlimani city ambapo wapo vijana kibao wanawania nafasi mbalimbali. BAVICHA ni mhimili mkubwa kwa chama.