Mkutano wa ccm ambao wamefunga kampeni hadi aibu askari ndo walikuwa wamejazana zaidi kuliko raia yaan nimefanya kuhesab haraka2 n kama watu 30 ndo wamehudhuria.
Ndesa amefungia kampeni kiboriloni sokoni,dogo janja mbunge wa Arumeru amefunika sana akamaliza kuhutubia akaenda arusha,Ndesa kasema kama ccm wanajivunia mgombea wao ni mzuri basi wammepeleke Mombasa.