Wanajamvini kesho ndo fainali tuliyokuwa tunaisubiri ya uchaguzi mdogo wa udiwani kwenye takribani Kata 26 nchini.
Tunaomba waliopo maeneo husika na wenye huduma ya internet tusiache kupeana update kwa upande wangu nipo kwenye gari naelekea Moshi ntawapa update kwenye uchaguzi Kata ya Kiborlon.
Mabadiliko kwenye hii nchi yataletwa na mimi,wewe na sisi sote.
Kama kawaida yake leo amebwabwaja tu na kuendelea kisema kuwa ushindi kwa ccm lazima,lakini leo amekuwa kama amefungua kanisa na kunukuu vifungu vya biblia kuwahadaa wananchi
Kama kawaida yake leo amebwabwaja tu na kuendelea kisema kuwa ushindi kwa ccm lazima,lakini leo amekuwa kama amefungua kanisa na kunukuu vifungu vya biblia kuwahadaa wananchi
Ndesa amefungia kampeni kiboriloni sokoni,dogo janja mbunge wa Arumeru amefunika sana akamaliza kuhutubia akaenda arusha,Ndesa kasema kama ccm wanajivunia mgombea wao ni mzuri basi wammepeleke Mombasa.
Ndesa amefungia kampeni kiboriloni sokoni,dogo janja mbunge wa Arumeru amefunika sana akamaliza kuhutubia akaenda arusha,Ndesa kasema kama ccm wanajivunia mgombea wao ni mzuri basi wammepeleke Mombasa.
Mkutano wa ccm ambao wamefunga kampeni hadi aibu askari ndo walikuwa wamejazana zaidi kuliko raia yaan nimefanya kuhesab haraka2 n kama watu 30 ndo wamehudhuria.
Ndesa amefungia kampeni kiboriloni sokoni,dogo janja mbunge wa Arumeru amefunika sana akamaliza kuhutubia akaenda arusha,Ndesa kasema kama ccm wanajivunia mgombea wao ni mzuri basi wammepeleke Mombasa.
Mkutano wa ccm ambao wamefunga kampeni hadi aibu askari ndo walikuwa wamejazana zaidi kuliko raia yaan nimefanya kuhesab haraka2 n kama watu 30 ndo wamehudhuria.