VUA GAMBA VA GWANDA
Member
- Jul 25, 2013
- 12
- 0
Nini tufanye ili kuepusha migogoro na lawana ambazo kwenye chaguzi zetu hutokea ni bora iwepo tume huru ambayo itasimamia uchaguz kuliko hii ambayo ipo na wakati mwingine inajihusisha na udanganyifu wa kula. Ningependekeza Katina mpya itambue tume huru ili kuondoa udanganyifu unaofanyika wakati wa chaguzi.