....WAKE UP girl....weki apuuuu.....
hivi kumbe ni binti huyu...???
basi sredi klozidi...wapo wanaomsaidia huko kutuliza kibaridi cha Uluguru...
hahahahahaaha nmemjaji kupitia hiyo username yake SABRA...
Sikuwa nimefikiria jinsia yake kabla...hata baada ya kusoma jinale!!!
Btw mzima wewe, umepotea kiasi...
nipo ndugu tumajukumu tunanikabaaa koo ndomana samtime napoteaa...za uliko kwa wakati huuuuu????
Huku ni njema tu na pole na majukumu yaliyokukinza hivyo...yakikukaba sana fanya fanya mpango wengine tutoe msaada atiii
santeeeeeeeeeeeeee .......aseeeeeee kweli kabisa fanya ukuje huku saidia mimi kazi banah
Habari wana jf.iv jaman
ubusy katka masomo unaweza kusababsha usimpgie simu umpendae
mwez?tuseme mwenzetu vocha uweki? Na mahusiano kuvunjwa utaki.je, jaman
huku si ndo kuanza kumulka mwiz?Ebu mnisaidie especially wale wanaosoma
SUA may b wapo busy kushnda vyuo vngne.