JOYCE PAUL JF-Expert Member Joined Jan 8, 2010 Posts 1,005 Reaction score 83 Nov 14, 2012 #1 Kazi kwenu kutiririka....
Power G JF-Expert Member Joined Apr 20, 2011 Posts 3,884 Reaction score 1,200 Nov 14, 2012 #3 Hiyo nyundo ni kwa ajili ya mafisadi kuwatwanga vichwani walala hoi na jembe ni kwa ajili ya kuchimbia makaburi ya kuwazika
Hiyo nyundo ni kwa ajili ya mafisadi kuwatwanga vichwani walala hoi na jembe ni kwa ajili ya kuchimbia makaburi ya kuwazika
Bujibuji Simba Nyamaume JF-Expert Member Joined Feb 4, 2009 Posts 76,579 Reaction score 161,431 Nov 14, 2012 #4 Yaani tangu UHURU huu ndio ubunifu wanaojivunia??
S swrc JF-Expert Member Joined Jun 17, 2012 Posts 442 Reaction score 38 Nov 14, 2012 #5 Jembe na nyundo vinaonyesha jinsi gani wanavyokwiba na kuwaacha wa tz hoi
Mkuu rombo JF-Expert Member Joined Oct 18, 2012 Posts 1,556 Reaction score 422 Nov 14, 2012 #6 Binti.com said: Hiyo nyundo ni kwa ajili ya mafisadi kuwatwanga vichwani walala hoi na jembe ni kwa ajili ya kuchimbia makaburi ya kuwazika Click to expand... aiseeeeeee mkuu ni kweli hiyo nyundo jana ilinitwanga wakati nanunua umeme na mafuta vimepanda bei
Binti.com said: Hiyo nyundo ni kwa ajili ya mafisadi kuwatwanga vichwani walala hoi na jembe ni kwa ajili ya kuchimbia makaburi ya kuwazika Click to expand... aiseeeeeee mkuu ni kweli hiyo nyundo jana ilinitwanga wakati nanunua umeme na mafuta vimepanda bei
Emanuel Makofia JF-Expert Member Joined Jan 5, 2010 Posts 3,832 Reaction score 637 Nov 15, 2012 #7 :becky::becky:Wakati wengine wnakimbizana na tecknologia wao ndo kwanza wana tambaaaa!!!
COURTESY JF-Expert Member Joined Jun 16, 2011 Posts 2,006 Reaction score 712 Nov 15, 2012 #8 nothing new in ccm!!
SILENT WHISPER JF-Expert Member Joined Jun 26, 2009 Posts 2,209 Reaction score 824 Nov 15, 2012 #9 Binti.com said: Hiyo nyundo ni kwa ajili ya mafisadi kuwatwanga vichwani walala hoi na jembe ni kwa ajili ya kuchimbia makaburi ya kuwazika Click to expand... hhhahaha..ile JEMBE ni la kuchimbia madini yetu..!
Binti.com said: Hiyo nyundo ni kwa ajili ya mafisadi kuwatwanga vichwani walala hoi na jembe ni kwa ajili ya kuchimbia makaburi ya kuwazika Click to expand... hhhahaha..ile JEMBE ni la kuchimbia madini yetu..!
Nyange JF-Expert Member Joined Mar 25, 2010 Posts 3,517 Reaction score 1,869 Nov 15, 2012 #10 Hamna jipya watanzania wanalo tegemea. mwenyekiti ni yule yule anayetabasamu muda wote hata akikuta kuna msiba, pengine anafurahi kuongoza viraza
Hamna jipya watanzania wanalo tegemea. mwenyekiti ni yule yule anayetabasamu muda wote hata akikuta kuna msiba, pengine anafurahi kuongoza viraza
Baba V JF-Expert Member Joined Dec 29, 2010 Posts 19,479 Reaction score 9,546 Nov 15, 2012 #11 Wanatisha aisee,kama rushwa
C cheichei2010 JF-Expert Member Joined Sep 18, 2010 Posts 932 Reaction score 351 Nov 15, 2012 #12 Baada ya kukwiba ,maliasili, madini,pamoja na fedha zetu sasa naona wamehamia kwenye misitu,kumaliza kabisa.
Baada ya kukwiba ,maliasili, madini,pamoja na fedha zetu sasa naona wamehamia kwenye misitu,kumaliza kabisa.
Chakuchambuka JF-Expert Member Joined Aug 4, 2012 Posts 342 Reaction score 63 Nov 15, 2012 #13 Hawana kazi za kufanya hao.....wanapoteza muda 2.....
C cheichei2010 JF-Expert Member Joined Sep 18, 2010 Posts 932 Reaction score 351 Nov 15, 2012 #14 Binti.com said: Hiyo nyundo ni kwa ajili ya mafisadi kuwatwanga vichwani walala hoi na jembe ni kwa ajili ya kuchimbia makaburi ya kuwazika Click to expand... Mh, mnovis na wewe!
Binti.com said: Hiyo nyundo ni kwa ajili ya mafisadi kuwatwanga vichwani walala hoi na jembe ni kwa ajili ya kuchimbia makaburi ya kuwazika Click to expand... Mh, mnovis na wewe!