Kilio Cha Miti
Member
- Oct 11, 2015
- 14
- 1
Jamani nakiomba sana chama changu cha Mapinduzi, haswa ngazi ya Mkoa wa Mara, watuongezee nguvu jimbo la Serengeti maana hawa Ukawa wanatusumbua sumbua ila naimani tutashinda, haswa kama tutapata support ya kutosha kutoka makao makuu naimani mpo humu na ujumbe utafika.
Serengeti ni ya CCM na itaendelea kua ya CCM
Serengeti ni ya CCM na itaendelea kua ya CCM