Ubunge Bahi 2015, Mathias Paul Lyamunda

Ubunge Bahi 2015, Mathias Paul Lyamunda

Joined
Oct 25, 2013
Posts
63
Reaction score
262
Wananchi wa Jimbo la Bahi wanasema mabadiliko ni lazima sasa, mkoa wa Dodoma haujawahi kupata mbunge wa Upinzani tangu uhuru,vuguvugu la mabadiliko limeshika kasi ndani ya Dodoma likiongwa na Makamnda mbalimbali kila kona ya Mkoa huku Mathias akiongoza harakati za Kumtoa OMARY BADUEL (CCM) ambaya pia ana kesi mahakamani ya Kupokea Rushwa..

Sema unachokijua kuhusu kamanda huyu Mbunge mtarajiwa wa Jimbo la Bahi..... Mathias.jpg
 
Nina mfahamu kamanda huyu mpambanaji,natambua mchango wake kwenye chama hasa anayoifanya mpaka sasa hapa Arusha,kimsingi ni jembe la kazi litakalowakomboa wana Bahi na wagogo wenzangu,mimi nakwenda kuwakomboa wana mtera kupitia kata ya Fufu-chamwino dodoma.
 
Wana Bahi wanahitaji kiongozi wa kwenda kuwasemea bungeni, siyo kiongozi wa kwenda kula rushwa kwenye halmashauri.

Wana Bahi;
  1. Kama mnataka kiongozi mla rushwa halafu ana kimbia peku, Mchagueni Omari Badwel kuwa mbunge wenu. Mpeni Kura zote.
  2. Kama mnataka kiongozi wa kwenda kuwasemea kero zenu za maji, afya, barabara na elimu Mchagueni Kijana Mathias Lyamunda. Mpeni kura zenu zote
 
Wananchi wa Jimbo la Bahi wanasema mabadiliko ni lazima sasa, mkoa wa Dodoma haujawahi kupata mbunge wa Upinzani tangu uhuru,vuguvugu la mabadiliko limeshika kasi ndani ya Dodoma likiongwa na Makamnda mbalimbali kila kona ya Mkoa huku Mathias akiongoza harakati za Kumtoa OMARY BADUEL (CCM) ambaya pia ana kesi mahakamani ya Kupokea Rushwa..

Sema unachokijua kuhusu kamanda huyu Mbunge mtarajiwa wa Jimbo la Bahi.....View attachment 120024
Nilifikiri wewe ndiye mwenye wajibu wa kutujulisha maana wengine hatumfahamu. It's nice that now everyone is dreaming of becoming a mbunge. It pays handsomely.
 
kumbe anataka kuwa mbunge kwa vile mkoa wa dodoma haujawahi kua na mbunge wa upinzani? safi sana na wengine wajitokeze waseme jimbo letu halijawahi kua na mbunge mwanamke nao wagombee
 
Nina mfahamu kamanda huyu mpambanaji,natambua mchango wake kwenye chama hasa anayoifanya mpaka sasa hapa Arusha,kimsingi ni jembe la kazi litakalowakomboa wana Bahi na wagogo wenzangu,mimi nakwenda kuwakomboa wana mtera kupitia kata ya Fufu-chamwino dodoma.

Nyie ndio mnaohitajiwa na chama.
 
kumbe anataka kuwa mbunge kwa vile mkoa wa dodoma haujawahi kua na mbunge wa upinzani? safi sana na wengine wajitokeze waseme jimbo letu halijawahi kua na mbunge mwanamke nao wagombee[/QUOTKUWAKAMATA utaki meza wembe au taga mayai ya mbuni
 
Kamanda yuko fiti.anajiamini,anajua kujenga hoja na anamatumaini ya dhati kwa wana bahi. M.p.LYAMUNDA FOR BAHI 2015.
 
Hapo Bahi watapambana na gamba mmoja anaitwa Pascal Bernadini Mwaja, kwamba Badwell hana chake anamalizia ratiba tu hiyo ni dhahiri, ila mpambano utakuwa mkali maana huyo Mwaja nae ana wapambe wengitena yeye ni mwyeji wa palepale Bahi. Haya akina ANGELO,Mhembano, Nyambuya vijana wenu hao wote ni wenu.
 
Karibu sana kamanda kwenye ulingo wa siasa,ila upuuzi na ujinga kama mwana chama makin hatuhtaji..kura hadi hapo ushapata 50%,50% tunasubir ujenz wa hoja na uhai wako wa kuwasirisha.
kama hujiwezi piga chini hatutaki watu wa speed ya kinyonga.
Welcome to bad game.
 
Songa kamanda, anza na Mungu na maliza na Mungu, kimbiza hayo magamba yenye laana ya Mwenyezi Mungu, Wana Bahi hata kama hilo gamba la CCM ni mwenyeji sana wa hapo, kumbukeni ukoo wa panya wote ni wezi, tokomezeni kabisa familia ya panya
 
Nilifikiri wewe ndiye mwenye wajibu wa kutujulisha maana wengine hatumfahamu. It's nice that now everyone is dreaming of becoming a mbunge. It pays handsomely.

Mathias Lyamunda ni mhitimu wa Shahada ya Kwanza Chuo kikuu cha Dar es salaam BA(Ed)-Geography and Political Science and Public Administration (Class of 2007), hajawahi kugombea udiwani kata yoyote, Ni Mwenyekiti wa mtandao wa asasi za Kiraia wilaya ya Bahi, ni Mkurugenzi wa NGO ambayo inafanya kazi ya utetezi wa Mazingira wilaya za Bahi, Manyoni na Kondoa, na Ameajiriwa na Shirika la Compassion Internationa Tanzania, lililoko Arusha. Ni Mwanachama wa Chadema hai, anashirikiana na wananchama wenzake wilaya ya Bahi kukijenga Chama, Bado hajao, ana miaka kati 30-34. Kwa ufupi huyo ndo Mathias Lyamunda.
 
Back
Top Bottom