Ubora wa bidhaa zinazouzwa na Maduka ya Woolworth

Troll JF

JF-Expert Member
Feb 6, 2015
7,804
12,237
Wakuu nimeingia pale Cadet zinauzwa Tzs. 79,000 na 126,000 Viatu vizuri vyenye label yao hadi 250,000 wenye Uzoefu na Maduka haya hebu tuambieni Ubora nikinunua hiyo Cadet ya 126,000 nitadumu nayo au ni manguo ya Kupauka tuu isipokua wanayakweza ila viatu nimeona ni Imara kwa kuviangalia tuu nguo mpaka uifue ndo unaijua Ubora wake!
 
Zingine uzivaazo ni kawaida yako kuulizia ubora wake? Ila kama si za china chukua
Nyingine nanunua 25k,30k,40k hapo sishtuki kabisa ila 126,000 ni vema kushirikisha wadau ambao wamewahi kufanya manunuzi hapo.
 
Kiukweli ni pesa kidogo lakini ni pesa nyingi pia la msingi wajua maduka maarufu yanauza vitu bei mara 3 au 4 ya bei halisi nenda maduka ya kawaida ya nguo linganisha ubora wa nguo hiyo hiyo utaona jinsi ziuzavyo bei kubwa
 
Kiukweli ni pesa kidogo lakini ni pesa nyingi pia la msingi wajua maduka maarufu yanauza vitu bei mara 3 au 4 ya bei halisi nenda maduka ya kawaida ya nguo linganisha ubora wa nguo hiyo hiyo utaona jinsi ziuzavyo bei kubwa
Tatizo zina label ya Woolworth siwezi kuipata kwenye duka jingine.
 
Mkuu Allen,

Vitu vya Woolworths viko imara, hauta juta ukinunua. Ila kwa bei za hapo ziko juu sana, nafikiri kwa sababu ya kodi Na wao kutengeneza faida. Huku South Africa cadet ya Woolworths inaanzia R350, ambayo ni kama Tsh 50,000 ya Tanzania.
 
Hii ni brand kubwa, kweli kabisa ni vyema kujua ubora wake maana unaweza ukakuta unanunua kitu kisicho na ubora kwasababu ya kuchakachuliwa.
 
Mkuu Allen,

Vitu vya Woolworths viko imara, hauta juta ukinunua. Ila kwa bei za hapo ziko juu sana, nafikiri kwa sababu ya kodi Na wao kutengeneza faida. Huku South Africa cadet ya Woolworths inaanzia R350, ambayo ni kama Tsh 50,000 ya Tanzania.
Daah! ziko Overpriced sana hata Dstv tunalipa 200,000 kwa Premium package.
 
Wakuu nimeingia pale Cadet zinauzwa Tzs. 79,000 na 126,000 Viatu vizuri vyenye label yao hadi 250,000 wenye Uzoefu na Maduka haya hebu tuambieni Ubora nikinunua hiyo Cadet ya 126,000 nitadumu nayo au ni manguo ya Kupauka tuu isipokua wanayakweza ila viatu nimeona ni Imara kwa kuviangalia tuu nguo mpaka uifue ndo unaijua Ubora wake!


Brand iyo chokest sasa ivi

Bora hata uvae brand ya UZI ila sijui kama wana duka huko zombie land
 
Wakuu nimeingia pale Cadet zinauzwa Tzs. 79,000 na 126,000 Viatu vizuri vyenye label yao hadi 250,000 wenye Uzoefu na Maduka haya hebu tuambieni Ubora nikinunua hiyo Cadet ya 126,000 nitadumu nayo au ni manguo ya Kupauka tuu isipokua wanayakweza ila viatu nimeona ni Imara kwa kuviangalia tuu nguo mpaka uifue ndo unaijua Ubora wake!
Hata dox za mtumbas unapata kama hizo sasa bei hiyo ya 79 utapata2 au 12... utapata 5
 
Back
Top Bottom