Ubongo kuwekwa akili unayotaka

Ubongo kuwekwa akili unayotaka

Fbn

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2016
Posts
14,136
Reaction score
33,538
potd-china-pilot_2536537b-xlarge.jpg


Si ajabu sana kuona teknolojia mpya kwa sasa, wana sayansi wamevumbua mfumo utakaowezesha ubongo kuingiza akili yoyote unayo taka kutokana na mahitaji unayotaka.

Mfano kama unataka kujua kareti, ngumi, ufundi, udaktari, udereva n.k
kifaa icho kinaweka na kuwekewa kumbukumbu yote na kuanza kufanya kazi kama umetoka mafunzoni.

Mwanasayansi huyo Dr Matthew Phillips amethibitisha mfumo huo utasaidia kupunguza garama za kufundisha na kuweza kutumika kwa mda mfupi kwa kila unacho taka.
 
Unavyoongea utasema kweli imekamilika, ndiyo kwanza wameanza wapo kwenye initial stages kabisa, haifanyi kazi kama unavyofikiri, end goal yao ni kufika hapo ila hawajafika, yaani hata kukaribia.
 
Mara paaaap,!!! File zime corrupt akili zinabishana
Wewe unataka uende chooni robot lako kichwani linataka kareti sasa utakapo harisha huko barabarani ndio utajua Mwenyezi ni mkuu
 
Hii story haina tofauti na tv show moja ya marekani,inaitwa chuck. wanazungumzia jamaa alidownload computer yenye uwezo wa kila kitu kichwani mwake..

Ikampa uwezo wa kufanya na kujua lolote lile.. ni tamu sana
Chuck (TV Series 2007–2012) - IMDb
 

Attachments

  • B449FA22-FD67-4B76-BAFF-72EFB091873D.jpeg
    B449FA22-FD67-4B76-BAFF-72EFB091873D.jpeg
    18 KB · Views: 35
Mara paaaap,!!! File zime corrupt akili zinabishana
Wewe unataka uende chooni robot lako kichwani linataka kareti sasa utakapo harisha huko barabarani ndio utajua Mwenyezi ni mkuu
mkuu umenivunja mbavu kwa kucheka iseeeee
 
Back
Top Bottom