Ubaya Ubwela

Carasco Putin

JF-Expert Member
Joined
Apr 23, 2022
Posts
12,492
Reaction score
35,645
Miaka 4 ya simba kukosa ubingwa wa NBC

Kachukua ngao ya jamii.

Kafika fainali CAF.

Kafika robo fainali mara 3 mfululizo klabu bingwa Afrika.

Kashiriki africa football league mbele ya rais wa FIFA.

Miaka 4 ya uto bin tofali.
Kukosa ubingwa ligi kuu.

Hakupata kombe lolote hata la kuazima.

Alitolewa round za awali klabu bingwa.
Walibadili wasemaji 6 kwa miaka 3 tu..
Ubuntu botho.

 
Huyo dada ndio wewe?
 
Una miguu mizuri
 
Sijakuelewa mkuu, yaani huyo ni wewe, ama umekamata manzi shabiki ya utopolo ndio unataka upoze machungu
 
Alafu mi najuaga mleta uzi mwanaume kumbe dah najidanganya tu
 
Dah! Mtoto unaonekana laini sana! MashaAllah!!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…