wakuu habari hizi zinanisikitisha sana. Kama tumeanza kuhalalisha shughuli za kisiasa nje ya nchi tutakuwa tujatigea bomu ambalo siku likilipuka tutakuwa hatuana wa kimlaumu. I wonder kama sheria za UK zinaruhusu mambo kama hayo, na iwonder kama waingereza wanaruhisiwa kuwa wanachama wa CCM na kuichangia CCM (watanzania waliojilipua ni waingereza, na baadhi yao ndio waanzishaji na wachangiaji wa matawi hayo).
Who will have balls to point fingers at CUF kwa kuanzisha matawi Afghanstan, Yemen na Pakistan. Who will point fingers at CUF if funded by hizbulah and Mujahdeen? Nashangaa sana kusikia watu wenye vyei vya juu sana CCM wanafanya mambo ya ajabu, na ssi wengine tunachekelea.