Ulikuwa unakimbilia wapi ndugu??Ni kweli Chadema kuna ubaguzi sana sana sans, ni kweli huyo mzanzibari alitosha kabisa Kuwa katibu Mkuu wala huyo Daktari wao hamfikii Kwa lolote. Hiki chasms kina ships Kubwa. Mbona hamlisemei swallow la Viti Maalumu, udiwsni Jimbo la Kawe ni Ainu Kubwa Halima Mdee alituhusiww kukata marina ya wagombee halali Na washindi akiruhusiwa na mbowe kufanya atakalo, Martha aliyekua Msaidizi wake Leo. Kale was udiwsni Hana hata Elimu ya msingi still wakina NAsra Mwanasheria Mzima aka he's, Caro sliyehonga Gari Na Kupanga zero kwenye Kura Za Maoni Leo Diwani Kwa Kuwa anambebea Halima pochi. Suburb 2020 wataisoma Namba wote tumeehshamia ACT, Chadema Ndio wanaoua upinzani najitia kuwapisha support.
Kweli Mkuu... ilikua kama najaribu ku-decipher encrypted message!! Huu uandishi mwingine ni shida....Ujumbe umeupata lakini kwa shida sana.....
Huenda alikatwa katika nafasi ya viti maalumu. Kama ni Me basi mkewe au Dada yakeKweli Mkuu... ilikua kama najaribu ku-decipher encrypted message!! Huu uandishi mwingine ni shida....
Nahisi mwandishi alikua na 'Jazba' kweli kweli!!!
Acha fitina zisizokuwa na mashiko.
Maoni yangu
Mwalimu alitumika kama geresha tu ili kuwapumbaza waislam, baada ya kelele za muda mrefu za kuwa chadema ni chama cha kikanda na kidini, sasa yanaanza kudhihirika moja baada ya jingine.
Ni kweli Chadema kuna ubaguzi sana sana sans, ni kweli huyo mzanzibari alitosha kabisa Kuwa katibu Mkuu wala huyo Daktari wao hamfikii Kwa lolote. Hiki chasms kina ships Kubwa. Mbona hamlisemei swallow la Viti Maalumu, udiwsni Jimbo la Kawe ni Ainu Kubwa Halima Mdee alituhusiww kukata marina ya wagombee halali Na washindi akiruhusiwa na mbowe kufanya atakalo, Martha aliyekua Msaidizi wake Leo. Kale was udiwsni Hana hata Elimu ya msingi still wakina NAsra Mwanasheria Mzima aka he's, Caro sliyehonga Gari Na Kupanga zero kwenye Kura Za Maoni Leo Diwani Kwa Kuwa anambebea Halima pochi. Suburb 2020 wataisoma Namba wote tumeehshamia ACT, Chadema Ndio wanaoua upinzani najitia kuwapisha support.
Nafasi iliyokuwa wazi na ambayo ilitakiwa kujazwa ni ya Katibu Mkuu wa Chama. Mwalimu tayari alikuwa ni Naibu Katibu Mkuu Zanzibar na alikuwa akikaimu Ukatibu Mkuu wa Chama. Sasa hapa ubaguzi dhidi ya Mwalimu unatoka wapi? Katibu Mkuu amepatikana, Mwalimu anaendelea na nafasi yake ya Unaibu Kabibu Mkuu-Zanzibar. Ukitaka kujua formula ya uongozi wa Siasa waulize CCM sababu ya kutoteua Katibu Mkuu kutoka Zanzibar! Siyo bahati mbaya kwa Chadema kuteua Katibu Mkuu wa chama hicho kutoka bara pia. Ni kanuni ya msingi ya hesabu za uongozi wa Siasa za Tanzania.
Maoni yangu
Mwalimu alitumika kama geresha tu ili kuwapumbaza waislam, baada ya kelele za muda mrefu za kuwa chadema ni chama cha kikanda na kidini, sasa yanaanza kudhihirika moja baada ya jingine.
Kwa mnyika usishangae maana hakukubaliana na mamvi ikikua kuoelekeshwa tuMwalimu kuachwa katika nafasi ya ukatibu mkuu unashangaa Na kuita ubaguzi?? Na wengine bado tunashangaa kwa nini hakupewa Mnyika.
Maoni yangu
Mwalimu alitumika kama geresha tu ili kuwapumbaza waislam, baada ya kelele za muda mrefu za kuwa chadema ni chama cha kikanda na kidini, sasa yanaanza kudhihirika moja baada ya jingine.
Mkuu una udugu na Pdidy?Ni kweli Chadema kuna ubaguzi sana sana sans, ni kweli huyo mzanzibari alitosha kabisa Kuwa katibu Mkuu wala huyo Daktari wao hamfikii Kwa lolote. Hiki chasms kina ships Kubwa. Mbona hamlisemei swallow la Viti Maalumu, udiwsni Jimbo la Kawe ni Ainu Kubwa Halima Mdee alituhusiww kukata marina ya wagombee halali Na washindi akiruhusiwa na mbowe kufanya atakalo, Martha aliyekua Msaidizi wake Leo. Kale was udiwsni Hana hata Elimu ya msingi still wakina NAsra Mwanasheria Mzima aka he's, Caro sliyehonga Gari Na Kupanga zero kwenye Kura Za Maoni Leo Diwani Kwa Kuwa anambebea Halima pochi. Suburb 2020 wataisoma Namba wote tumeehshamia ACT, Chadema Ndio wanaoua upinzani najitia kuwapisha support.
Waislam wamuulize Juma Duni Hali, alikuwa kama Bundi katikati ya ndege wadogowadogo mchana kweupe.
Maoni yangu
Mwalimu alitumika kama geresha tu ili kuwapumbaza waislam, baada ya kelele za muda mrefu za kuwa chadema ni chama cha kikanda na kidini, sasa yanaanza kudhihirika moja baada ya jingine.
Salum ndiye mwislamu pekee CDM? Hizi akili za ajabu sana kuwahi kutokea
Ni kweli Chadema kuna ubaguzi sana sana sans, ni kweli huyo mzanzibari alitosha kabisa Kuwa katibu Mkuu wala huyo Daktari wao hamfikii Kwa lolote. Hiki chasms kina ships Kubwa. Mbona hamlisemei swallow la Viti Maalumu, udiwsni Jimbo la Kawe ni Ainu Kubwa Halima Mdee alituhusiww kukata marina ya wagombee halali Na washindi akiruhusiwa na mbowe kufanya atakalo, Martha aliyekua Msaidizi wake Leo. Kale was udiwsni Hana hata Elimu ya msingi still wakina NAsra Mwanasheria Mzima aka he's, Caro sliyehonga Gari Na Kupanga zero kwenye Kura Za Maoni Leo Diwani Kwa Kuwa anambebea Halima pochi. Suburb 2020 wataisoma Namba wote tumeehshamia ACT, Chadema Ndio wanaoua upinzani najitia kuwapisha support.
Ni kweli.Labda kama we ni mchagga utahurumiwaChadema kila mtu ni msaliti isipokua mwenye chama...