Ubadhirifu Ofisi ya CAG

unajua ulichokiandika?
 
Kwa kweli hili ni janga tuhuma zote hizo mtu bado yuko ofisini? Hii nchi haitasonga mbele kwa kufumbia macho mambo mazito kama haya.
 
Tutenganishe majungu, kuoneana kijicho na uhalisi. Ikiwa kuna uhalisi unaoweza kuleta mashaka, uchunguzi ufanyike, hatua zichukuliwe. Ktkt ofisi mbalimbali wapo informers, kazi yao ni kuleta taarifa za ndani ili kutufumbua macho. Ikiwa hazina ukweli uchunguzi uturidhishe.
 
Dah jaman kwann wasiwape TBA kufanya hiyo kazi. Mihela yote hiyo huku wakala wa majengo (TBA) yupo jaman jaman Magufuli jipu hilo
 
I knew this was coming...Siku si mingi atapigwa chini sio kwamba ana hatia bali chuki za Magu.Huyu ndie alitoa taarifa ya uwepo wa ubadhirifu wizara ya ujenzi chini ya Koplo Magufuli.
 
Vizuri wakiristo wanajipanga. Lakini mkumbuke nyie ndio mlioharibu nchi kwa miaka 50 no maendeleo.
Kila alipo muislam lazima mtafute kosa sio mbaya.
Asad atatumbuliwa akifuatiwa na dr dau na wengine wowote walioko kwenye madaraka mtakaa wenyewe mtaturudisha nyuma kimaendeleo
Tutakuja tutaanza upya.

Mbona kanisa ninapitishiwa hela haramu mnapiga kimya? Iptl ikiulizwa mnazika
Tahadhar udini hautufikishi popote zaidi ya vita.
 
Makufuli ni mdini tena mkatoliki. Anapendelea. Wale wa wizara ya fedha walioenda kunywa chai mbona hawajafukuzwa .
Akimuona mwislamu popote anatake action akiwa mgala anasita ? Why ? Huh si uungwana
Mbona Zanzibar hawaachii anajua alicho sema lukuvi.
Lukuvi mchochozi lakini kapandishwa cheo angekuwa muislamu angekamatwa recall sheikh Ponda . je tutafikaje
 

hapo una ji pre emty ili magufuli asiwapitie,hakuna namna ni kutumbuliwa tu,awe dau na dili za kujenga daraja atatumbuliwa tu,
 
Naona huko Mtanzania kuna mradi wa kumchafua Prof.Asad,walianza na kwenda nje bila kibali.Na huyo afisa wa CAG anayetumiwa tutampata tu,asidhani yupo salama
hii kitu itakuwa ilimuuma sana Assad
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…