Uasi wanukia CHADEMA


Waondoke wote kama Masalia mkuu!! CDM ni kubwa kuliko idadi ya hao wabunge!! Nao watakuwa wasaliti vile vile kama Masalia tu.
 
Hilo nalo gazeti au udaku?
 
chadema ina watu wengi sana zaidi ya milioni 4.majimbo hayazidi 400.tutagombea wengine.WAONDOKE TU.

Me mwenyewe nina hamu ya kugombea ubunge usipime!
 
Ningefurahi sana kama ZZK angeondoka na panya wake jana/juzi.
Ningefurahi sana kama SHIBUDA angekimbia bila kufukuzwa toka mwaka jana!!
Let them GOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO!!! Traitors!!
Usihofu,
Chadema ni kama senene, Huwa wanaanguka wakati wa msimu na wakiisha anguka hupotea within few day wanabakia panzi wachache sana
 

mosi habari haijaandikwa na mzee wasira, pili watajiondoa baada ya uchaguzi wa ndani ambao km kweli mwanacdm unajua utafanyika lini so wao ndo wataosaidia kutimiza utabiri wa mzee tyson.
 
Ukiona mti unapopolewa sana mawe,ujue ndiyo wenye...........
 

Propaganda! Mwaka huu nyie magamba Mtakufa kwa kihoro
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…