Jana kuna mdogo angu karudi shule mapema.
Nikamuuliza mbona Leo mapema, ananiambia mwalimu mkuu amewambia wenye miaka 18 form four amewambia warudi nyumbni wakajiandikishe kurudi, kurudi shule hadi awe na namba aliyojiandikisha, kituo alichojiandikisha. Sasa sijaelewa huu utaratibu manake nini?
Hii ni morogoro shule inaitwa uwanja wa Taifa
Nikamuuliza mbona Leo mapema, ananiambia mwalimu mkuu amewambia wenye miaka 18 form four amewambia warudi nyumbni wakajiandikishe kurudi, kurudi shule hadi awe na namba aliyojiandikisha, kituo alichojiandikisha. Sasa sijaelewa huu utaratibu manake nini?
Hii ni morogoro shule inaitwa uwanja wa Taifa