Mimi sipo kundi lolote katika hayo kwa kuwa sio mwanachama wa chama hicho, wala chama kingine cha siasa.
Hata kama ningekuwa mwana CCM nisingekuwepo kwenye makundi hayo wawili. Naamini hata sasa huko CCM wapo wanachama ambao si selfish wala si wajinga, hata kama ni wachache