jogijo
JF-Expert Member
- Mar 29, 2019
- 260
- 490
Habari wana JF
niende kwenye mada tajwa
ukweli mwanaume tunajifariji tu kuwa ni haki yetu kuchepuka, lakini unakumbuka kiapo cha siku ile unaahidi kumpenda mtu hadi kifo kiwatenganishe na wengine wote utawaepuka? Kwanini unawaza michepuko isiyojua umetoka wapi?
Tujifunze, ukimcheat mke wako atajisikia vibaya zaidi kuliko ww unavojisikia ukifuma... lkn pia ukicheat unailetea laana familia yako na watoto, yes huwez ona hii maana unajifariji una pesa za kuwapa hao wadada, ushawahi kufikiria kuhusu kizazi chako, unaweza kua safe ww na kuona umewin lkn ukweli Mungu sio dhalimu, usipoitubia hio dhambi inaweza tafuna kizazi chako kuanzia cha kwanza hadi cha nne.
Better choice to you all
jogijo....
niende kwenye mada tajwa
ukweli mwanaume tunajifariji tu kuwa ni haki yetu kuchepuka, lakini unakumbuka kiapo cha siku ile unaahidi kumpenda mtu hadi kifo kiwatenganishe na wengine wote utawaepuka? Kwanini unawaza michepuko isiyojua umetoka wapi?
Tujifunze, ukimcheat mke wako atajisikia vibaya zaidi kuliko ww unavojisikia ukifuma... lkn pia ukicheat unailetea laana familia yako na watoto, yes huwez ona hii maana unajifariji una pesa za kuwapa hao wadada, ushawahi kufikiria kuhusu kizazi chako, unaweza kua safe ww na kuona umewin lkn ukweli Mungu sio dhalimu, usipoitubia hio dhambi inaweza tafuna kizazi chako kuanzia cha kwanza hadi cha nne.
Better choice to you all
jogijo....