Jabali la Siasa
JF-Expert Member
- Jul 10, 2020
- 3,585
- 2,911
Ukweli sasa hivi pesa ipoSamia ameruhusu mzunguko wa hela , yule jamaa hakutaka watu wawe na hela aliwaza mabarabara tuu bila kujali mnaishije alikuwa Raisi wa hovyo sana , Samia akiondoka leo ni mwaka mmoja tuu mtaanza kumlilia , Rai yangu Jijengeni mapema kiuchumi kabla Samia hajatoka madarakani!!!
Another innocent neck carrying a rotten pumpkin headSamia ameruhusu mzunguko wa hela , yule jamaa hakutaka watu wawe na hela aliwaza mabarabara tuu bila kujali mnaishije alikuwa Raisi wa hovyo sana , Samia akiondoka leo ni mwaka mmoja tuu mtaanza kumlilia , Rai yangu Jijengeni mapema kiuchumi kabla Samia hajatoka madarakani!!!
Huu nao ni ushauri mzuriSamia ameruhusu mzunguko wa hela , yule jamaa hakutaka watu wawe na hela aliwaza mabarabara tuu bila kujali mnaishije alikuwa Raisi wa hovyo sana , Samia akiondoka leo ni mwaka mmoja tuu mtaanza kumlilia , Rai yangu Jijengeni mapema kiuchumi kabla Samia hajatoka madarakani!!!
Unahesabia na yale mabas, pikpik na baiskel za mama?Wakati Rais Samia Suluhu anaingia madarakani watu walioagiza/kununua Vifaa vya Usafirishaji nje kama magari, pikipiki, baiskeli na vinginevyo thamani yavyo ilifikia $738.1 sawa na TZS1.9Trilioni baada ya Rais samia kuingia madarakani vifaa vya usafiri na usafirishaji vilivyoagizwa nje vilifikia thamani ya $1,892.0 sawa na TZS5Trilioni ikiwa ongezeko la 20.4%. sawa na ongezeko jipya la TZS3.1Trilioni.Hii inaashiria kuwa Watanzania sasa na wao wanabadili magari kulingana na namba ya gari au mwaka iliyotengenezwa.
Naona fisadi ulikuwa umebanwa saiv unachekelea huku deni la Taifa likiwa halishikikiSamia ameruhusu mzunguko wa hela , yule jamaa hakutaka watu wawe na hela aliwaza mabarabara tuu bila kujali mnaishije alikuwa Raisi wa hovyo sana , Samia akiondoka leo ni mwaka mmoja tuu mtaanza kumlilia , Rai yangu Jijengeni mapema kiuchumi kabla Samia hajatoka madarakani!!!
Nami nilitaka kumuuliza hili mkuu!😛Mtoa mada utabadilisha ID yako Hadi lini?
I concurAnother innocent neck carrying a rotten pumpkin head
Kama ni magari ya kuchimba visima vya maji, kubeba kokoto, kumwaga lami, kulima mashamba, kupandia, kuvunia, kubebea maji, kuchimba madini, kusafirisha mifugo, kusaidia kubebea mizigo ya bidhaa za uvuvi, maparachichi, maua, usafiri wa abiria, na kadhalika na si magari ya delaya/deraya naunga mkono hoja.TZS5Trilioni
Rais Samia Mitano Tena! Kazi na utu tunasonga mbele.Samia ameruhusu mzunguko wa hela , yule jamaa hakutaka watu wawe na hela aliwaza mabarabara tuu bila kujali mnaishije alikuwa Raisi wa hovyo sana , Samia akiondoka leo ni mwaka mmoja tuu mtaanza kumlilia , Rai yangu Jijengeni mapema kiuchumi kabla Samia hajatoka madarakani!!!
Mama Yuko vizuri anafanya mambo Yake kimya kimya lakini sikizia impact Yake kwenye uchumi. Really amazing!Samia ameruhusu mzunguko wa hela , yule jamaa hakutaka watu wawe na hela aliwaza mabarabara tuu bila kujali mnaishije alikuwa Raisi wa hovyo sana , Samia akiondoka leo ni mwaka mmoja tuu mtaanza kumlilia , Rai yangu Jijengeni mapema kiuchumi kabla Samia hajatoka madarakani!!!
yes huo ndio ukweli wenyeweSamia ameruhusu mzunguko wa hela , yule jamaa hakutaka watu wawe na hela aliwaza mabarabara tuu bila kujali mnaishije alikuwa Raisi wa hovyo sana , Samia akiondoka leo ni mwaka mmoja tuu mtaanza kumlilia , Rai yangu Jijengeni mapema kiuchumi kabla Samia hajatoka madarakani!!!
SIO KWELIAcheni uongo wakati magufuli anafariki Tanzania ilikuwa Upper middle Income Country ,
Huyu bibi chura ameingia nchi I.eshuka kuwa Lower middle Income .
Acheni kudanganya watu.
Nchi ime.shinda huyu karani
We ni mchawi ila umeshindwa kwa jina la Yesu. Watu wengine hamwezi ht kuficha zilivyo roho zenu. Badala upongeze mfumo kwa kunyanyua maisha ya watu we unaita kufuru? Nashindwa niandike nini ila itoshe kusema una roho mbaya sana mpk aibu.Wakati Rais Samia Suluhu anaingia madarakani watu walioagiza/kununua Vifaa vya Usafirishaji nje kama magari, pikipiki, baiskeli na vinginevyo thamani yavyo ilifikia $738.1 sawa na TZS1.9Trilioni baada ya Rais samia kuingia madarakani vifaa vya usafiri na usafirishaji vilivyoagizwa nje vilifikia thamani ya $1,892.0 sawa na TZS5Trilioni ikiwa ongezeko la 20.4%. sawa na ongezeko jipya la TZS3.1Trilioni.Hii inaashiria kuwa Watanzania sasa na wao wanabadili magari kulingana na namba ya gari au mwaka iliyotengenezwa.