Huyo siku akienda ipiga Israel, USA watasema ni Terrorist hahaha, western na wakristo wao uwe unawauwa waislam hawana shida watakusifu, ukiwauwa wakristo ni terrorist. Sa huyu Pilot sidhan kama atawauwa ISIS bila kuuwa raia wasio na hatia, sa sijui atasema nini kwa Mungu akifa. Atajuta kusifiwa na wakristo.